Hivi Lowassa na ulanguzi umeme bado anaota urais?
KWA wanaokumbuka ndoa ya Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa na Kampuni ya kitapeli ya Richmond iliyosababisha atimuliwe madarakani, hawana shaka kuwa ndoa hii haiwezi kuvunjika. Hata ikivunjika, bado mirindimo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s72-c/_MG_1504.jpg)
LOWASSA AWASILI MAKAO MAKUU YA CHADEMA KUCHUKUA FOMU YA KUWANIA URAIS NDANI YA CHAMA HICHO HIVI PUNDE JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhVxbUxL99o/Vbn9gOoC7XI/AAAAAAAHspA/AVwk9W_eWTY/s640/_MG_1504.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ou-kZyolRWs/Vbn9ezO31CI/AAAAAAAHsos/7_9hJctistg/s640/_MG_1408.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s72-c/IMG_2939.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s640/IMG_2939.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eiUj_0ep2PI/VWrcMsT6z6I/AAAAAAAAsiA/N-Ge1Ktfbbw/s640/IMG_2950.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VZP2AenmpJE/VWrcQS6rDPI/AAAAAAAAsiI/Yd7V--OlhHM/s640/IMG_2952.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCrZE9XEVu8/VWrcS567LCI/AAAAAAAAsiY/xgubCPYv-5A/s640/IMG_2953.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wojAft-SCcg/VWrcVKyifMI/AAAAAAAAsig/M3MLMzkBRCU/s640/IMG_2963.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bZQb6ovUbHA/VWrcW_lROVI/AAAAAAAAsio/PdOZCIBkRYM/s640/IMG_2964.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KuhHc0avh74/VWrcaf9xf1I/AAAAAAAAsiw/4j0-wWGwBgk/s640/IMG_2974.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qmLemxtETwo/VWrcdFPLT5I/AAAAAAAAsi4/r_hab0pbFpY/s640/IMG_2979.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--6F-Fc-WzG0/VWrcfajRN2I/AAAAAAAAsjA/L6tw6mlG9wg/s640/IMG_2981.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmUS4W9sJoc/VWrchl8YhHI/AAAAAAAAsjI/OTL7qboe1OI/s640/IMG_2989.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AUyIyYHz5JY/VWrcj25UJtI/AAAAAAAAsjQ/gNANXpmZMBk/s640/IMG_2999.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s72-c/IMG_2939.jpg)
HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA JIJINI ARUSHA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-WUYvtOpUMsk/VWrcQgnZ51I/AAAAAAAAsiM/tkjga7Dq_Gw/s640/IMG_2939.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HCrZE9XEVu8/VWrcS567LCI/AAAAAAAAsiY/xgubCPYv-5A/s640/IMG_2953.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmUS4W9sJoc/VWrchl8YhHI/AAAAAAAAsjI/OTL7qboe1OI/s640/IMG_2989.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AUyIyYHz5JY/VWrcj25UJtI/AAAAAAAAsjQ/gNANXpmZMBk/s640/IMG_2999.jpg)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6qfioDdpCsFsFVP-NCep9gi8DCCJaNxewDMqez7anAWhsgEaunIdNFOSyv5fLLfd4ozppuEo4JjbxQav4nF-C9I/students21.jpg?width=650)
HIVI HAWA MAJAMAA BADO WAPO?
10 years ago
MichuziUMEME WA GESI ASILIA KUANZA KUTUMIKA HIVI KARIBUNI
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Hivi kweli bado tuko makini na kura ya maoni aprili 30?
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Kidatu inaweza kuzalisha umeme bado
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mitambo ya kuzalisha umeme katika bwawa la Kidatu, mkoani Morogoro mwaka 2011.Kushoto ni meneja wa TANESCO wa mkoa na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel Bendera.
Na Mwandishi wetu
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme nchini (Tanesco), limesema Mgodi wa wa kufua umeme, uliojengwa Kidatu, Morogoro 1975, bado zinauwezo wa kuzalisha nishati hiyo kwa kiwango cha kutosha.
Kauli hiyo ilitolewa, Meneja wa Mgodi huo Injinia Joseph Lyaruu, wakati ziara ya wandishi wa...
10 years ago
StarTV01 Apr
Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.
Na Magreth Tengule,
Rombo.
Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.
Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...
10 years ago
Vijimambo20 Jun
Chadema: Nape anaota ndoto za mchana.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nape-20June2015.jpg)
Kauli ya Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Nape Nnauye, kudai chama chake kitaendela kuongoza nchi hata kama ni kwa kura za wizi, chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibuka na kumjibu kuwa hizo ni ndoto za mchana.
Akizungumza na NIPASHE kwenye ofisi za Chadema Wilaya ya Chato, Katibu wa Baraza la Vijana Chadema Taifa (Bavicha), Julius Mwita, alisema chama chake kipo kwenye...