Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.
Na Magreth Tengule,
Rombo.
Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.
Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G25Ul8cs488/U89axozq-pI/AAAAAAAF5BU/QRkUZb08clA/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Nishati na Madini kuanzisha Mpango wa Taifa wa Matumizi Bora ya Nishati
![](http://3.bp.blogspot.com/-G25Ul8cs488/U89axozq-pI/AAAAAAAF5BU/QRkUZb08clA/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Michuzi04 Mar
9 years ago
MichuziONGEZENI IDADI YA WATUMIAJI MAJI DAR – PROF MBARAWA
5 years ago
Ykileo![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s72-c/IMG-20171027-WA0008.jpg)
IDADI KUBWA YA PROGRAM TUMISHI ZIMEENDELEA KUIBA TAARIFA ZA WATUMIAJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s200/IMG-20171027-WA0008.jpg)
Viwanda na Taasisi mbali mbali zimeendelea kutumia TEHAMA ili kukuza ufanisi na kufikia watu wengi kwa kipindi kifupi. Miamala ya kifedha, ukusanyaji kodi, pamoja na mawasiliano ni baadhi tu ya mambo yanayo wezeshwa na TEHAMA nchini.
Usalama wa mifumo ya TEHAMA ni moja ya jambo muhimu sana ambapo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s72-c/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
TANESCO YAAGIZWA KUIMARISHA KIKOSI CHA UKAGUZI WA WATUMIAJI WA UMEME
![](http://4.bp.blogspot.com/-ut212zsGPIY/Vkxb939B74I/AAAAAAADCj8/KmWu8zGcyRo/s400/badramasoudwazopower2013%25281%2529.jpg)
Hayo yamesemwa jijini Dar es salaam na msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini Bi. Badra Masoud alipokuwa akizungumzia ukaguzi wa wezi wa umeme nchini.
“Umeme unaotumika kwa sasa unazalishwa kwa kiasi kikubwa na gesi asilia...
5 years ago
MichuziUMEME MDOGO KWA BAADHI YA MAENEO YA MJI WA ZANZIBAR,CHANZO NI ONGEZEKO LA WATUMIAJI NA UJENZI HOLELA
9 years ago
Mwananchi28 Dec
Idadi wasoma sayansi wa kike bado ndogo
9 years ago
Michuzi31 Aug
HALI YA KIPINDUPINDU MOROGORO BADO TETE IDADI YA WAGONJWA YAONGEZEKA.
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/xO33mIAj5iY_y9FpMJXlotqHxShewxng8bTmGXVYrzY7PL0nEahgaSFhGYDhk2GgWvAfmo7ckdYI_JDT0V7xsb4=s0-d-e1-ft#http://www.itv.co.tz/media/image/MORO30.jpg)
Akizungumza na mtandao huu afisa afya mkoa wa Morogoro Carlesilas Lyimo amesema kutokana na kasi ya ongezeko la kipindupindu maafisa afya wamefanya operesheni katika maeneo mbalimbali yanayotoa huduma za chakula na vinywaji na kufanikiwa kukamata na...
9 years ago
StarTV30 Sep
Tanzania bado ina idadi ndogo ya wanawake wamiliki ardhi
Tafiti kuhusu masuala ya ardhi zimeonyesha kuwa Tanzania bado ina idadi kubwa ya wanawake ambao hawana uelewa kuhusu umuhimu wa kumiliki ardhi na matumizi yake kiuchumi kutokana na uwepo wa mfumo dume katika maeneo mengi nchini.
Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012, asilimia 51 ya idadi ya wananchi ni wanawake, asilimia 19 wakiwa ndiyo wanaomiliki ardhi na kuitumia katika masuala ya maendeleo.
Pamoja na uwepo wa Sheria ya Ardhi na Taasisi mbalimbali zinazohusu matumizi ya ardhi kwa...