ONGEZENI IDADI YA WATUMIAJI MAJI DAR – PROF MBARAWA
Mh. Prof. Mbarawa akiongea na menejimenti ya Dawasco na Dawassa kwenye ukumbi wa Dawasco gerezani,mwishoni mwa wiki jijini Dar.(picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii) .
Mh. Prof. Makame Mbarawa akisaini kitabu cha wageni akiwa na Naibu waziri,Injinia Isack Kamwelwe (kushoto), pamoja na katibu mkuu na naibu katibu mkuu wa wizara ya maji (kulia) katika ofisi ya afisa mtendaji mkuu wa Dawasco.
Waziri wa maji mh. Prof. Makame Mbarawa akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Dawasco mapema...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziPROF. MBARAWA AFANYA UTEUZI WA WAKURUGENZI MAMLAKA ZA MAJI
UTEUZI WA WAKURUGENZI WA MAMLAKA ZA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA – ARUSHA NA SUMBAWANGA
Waziri wa Maji Mhe. Prof. Makame Mbarawa (Mb) amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira za Arusha na Sumbawanga kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia leo tarehe 15 Mei, 2020.
Taarifa ya Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo imewataja walioteuliwa kuwa ni Mhandisi Justine Gordian Rujomba anayekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBrE3PeUeyw/XkR0-7Dk74I/AAAAAAABKXg/XaIrOMJAFXM5gHHju-GTu0G9_yD_vRZ_QCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0001.jpg)
PROF MBARAWA AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA USAMBAZAJI MAJI IKWIRIRI
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema tatizo la upatikanaji wa maji katika halmashauri ya utete na tarafa ya Ikwiriri ni kutokana na kutokuwa na mtandao mpana wa mabomba ya usambazaji maji kwa wananchi.
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
11 years ago
Habarileo26 Feb
Asilimia 55 ya maji Dar hayawafikii watumiaji
ASILIMIA 55.5 ya maji jijini Dar es Salaam yamekuwa yakipotea na hayawafikii watumiaji, kutokana na kuibwa na uchakavu wa miundombinu.
10 years ago
StarTV01 Apr
Matumizi Nishati ya Umeme, idadi ya watumiaji bado yasuasua.
Na Magreth Tengule,
Rombo.
Tanzania imesalia kuwa miongoni mwa nchi chache barani Afrika ambazo zina idadi ndogo ya watumiaji wa nishati ya umeme.
Kwa mujibu wa takwimu za Serikali za mara kwa mara ni asilimia 17 pekee ya wananchi wote wanaofikiwa na huduma hiyo.
Katika kuhakikisha huduma ya umeme inazidi kuwafikia watu wengi hasa wale wanaoishi maeneo ya pembezoni, Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kitazidi kuibana Serikali ielekeze nguvu kwenye utekelezaji wa mradi wa umeme vijijini...
9 years ago
IPPmedia01 Sep
Prof Makame Mbarawa, Communication, Science and Technology minister
IPPmedia
IPPmedia
The government has said the timing of the enactment and application of the much-contested piece of legislation is well-intended and not meant to interfere with the run-up to the October 25 General Election. Tanzania is not the first country to have a ...
9 years ago
MichuziWAZIRI PROF. MBARAWA ASISITIZA UWAZI NA UADILIFU TAZARA
5 years ago
Ykileo![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s72-c/IMG-20171027-WA0008.jpg)
IDADI KUBWA YA PROGRAM TUMISHI ZIMEENDELEA KUIBA TAARIFA ZA WATUMIAJI
![](https://2.bp.blogspot.com/-qZewHoDogto/WfaXxilvBRI/AAAAAAAACFo/WH_t6V8dr18Fqy17ROa77WlFUKo1zzoJgCLcBGAs/s200/IMG-20171027-WA0008.jpg)
Viwanda na Taasisi mbali mbali zimeendelea kutumia TEHAMA ili kukuza ufanisi na kufikia watu wengi kwa kipindi kifupi. Miamala ya kifedha, ukusanyaji kodi, pamoja na mawasiliano ni baadhi tu ya mambo yanayo wezeshwa na TEHAMA nchini.
Usalama wa mifumo ya TEHAMA ni moja ya jambo muhimu sana ambapo...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s72-c/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
PROF. MAKAME MBARAWA AREJESHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-1fXx4_XPTLw/XvXYQgIk-EI/AAAAAAABMnI/9hugSqJ5SIEmzqSi9vKKvqW2-ILG3PjsACLcBGAsYHQ/s400/EbboVv2UcAAV-O9.jpeg)
11 years ago
Dewji Blog24 Apr
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Mbarawa afungua mkutano wa wadau waTEHAMA
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa akifungua mkutano wa siku mbili wa wadau wa Teknolojia ya habari na mawasiliano (TEHAMA) kutoka nchi za ukanda wa Bonde la ufa leo jijini Dar es salaam.
Na Eleuteri Mangi- Maelezo
Serikali imejenga mazingira mazuri kwa wawekezaji ili kuvutia makampuni mbalimbali kuwekeza kwenye sekta ya mawasiliano nchini.
Kauli hiyo imemtolewa na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa alipokuwa akifungua mkutano...