Asilimia 55 ya maji Dar hayawafikii watumiaji
ASILIMIA 55.5 ya maji jijini Dar es Salaam yamekuwa yakipotea na hayawafikii watumiaji, kutokana na kuibwa na uchakavu wa miundombinu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziONGEZENI IDADI YA WATUMIAJI MAJI DAR – PROF MBARAWA
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Jumuiya ya watumiaji maji Nzihi wapatiwa pikipiki
MKURUGENZI wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Kampuni ya Simu Tigo, Jackson Kiswaga ametoa msaada wa pikipiki kwa jumuiya ya Watumiaji Maji Kata ya Nzihi kwa lengo la...
11 years ago
Habarileo31 Dec
Asilimia 35 ya maji yaliyozalishwa yapotea
WASTANI wa asilimia 35 ya maji yaliyozalishwa na mamlaka za maji mwaka huu, yamepotea bila kuwafikia wateja huku Kampuni ya Majisafi na Taka Dar es Salaam (DAWASCO) ikiongoza kwa kuwa na kiwango kikubwa.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Chunya yapata maji kwa asilimia 67
SERIKALI imesema upatikanaji wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri, alitoa kauli...
10 years ago
GPLBODI YA WAKURUGENZI YA MAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA DAR ES SALAAM (DAWASA) YATEMBELEA ENEO LA MRADI WA UJENZI WA BWAWA LA MAJI KIDUNDA
10 years ago
Michuzi30 Aug
Bodi ya ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) yatembelea Eneo la Mradi wa Ujenzi wa Bwawa la Maji Kidunda
Meneja Usimamizi, Uendeshaji na Mazingira toka Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi.Modesta Mushi akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) ramani ya maeneo yatakayoguswa na Ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kidunda lenye ujazo wa Mita milioni 190, wakati wa Ziara ya Bodi hiyo katika eneo la Mradi Mkoani Morogoro.Mkuu wa Msafara wa Timu ya Ulipaji fidia kwa Wakazi walio katika Eneo la Mradi Mhandisi John...
5 years ago
MichuziMRADI WA MAJI PONGWE -MUHEZA UMEFIKIA ASILIMIA 90
MKURUGENZI wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga Uwasa) Mhandisi Geofrey Hilly kushoto akimueleza jambo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge Uwekezaji na Mitaji ya Umma Zainabu Vullu kulia wakati kamati hiyo ilipotembelea eneo la Tanki la Maji litakalotoa maji eneo la Pongwe kupeleka wilayani Muheza wakati wa ziara yako wa pili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Tanga Uwasa Dkt Fungo Ally
MKURUGENZI wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Jijini Tanga (Tanga...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Watumiaji mihadarati 1,714 wapatiwa tiba Dar
WATUMIAJI wa dawa za kulevya zaidi ya 1,714 wapo kwenye matibabu ya dawa aina ya Methadone inayotolewa jijini Dar es Salaam. Dawa hizo hutolewa kwenye vituo maalum vilivyopo ndani ya...
11 years ago
MichuziKATIBU MKUU WIZARA YA MAJI AZINDUA MRADI WA MAJI MBAGALA KUU,JIJINI DAR LEO