Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jumuiya ya watumiaji maji Nzihi wapatiwa pikipiki

MKURUGENZI wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Kampuni ya Simu Tigo, Jackson Kiswaga ametoa msaada wa pikipiki kwa jumuiya ya Watumiaji Maji Kata ya Nzihi kwa lengo la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Watumiaji mihadarati 1,714 wapatiwa tiba Dar

WATUMIAJI wa dawa za kulevya zaidi ya 1,714 wapo kwenye matibabu ya dawa aina ya Methadone inayotolewa jijini Dar es Salaam. Dawa hizo hutolewa kwenye vituo maalum vilivyopo ndani ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Watendaji wa kata 13 wapatiwa pikipiki

>Maofisa watendaji kata 13 kati ya 25 wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, wamepatiwa pikipiki 13 zitakazowawezesha kumudu utekelezaji wa majukumu yao kwa kuwafikia wananchi walioko vijijini.

 

5 years ago

Michuzi

AHADI YA RAIS MAGUFULI KWA MAAFISA TARAFA YATIMIA, WAPATIWA PIKIPIKI NCHI NZIMA

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Kapteni George Mkuchika na Wakuu wa Mikoa wa Dodoma na Singida pamoja na Makatibu Tawala wao wa Mikoa baada ya kukabidhiwa pikipiki za maafisa tarafa kwa niaba ya Wakuu wa mikoa wenzao wa mikoa 24. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Selemani Jafo akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi wakuu wa mikoa pikipiki kwa ajili ya maafisa tarafa wao leo jijini Dodoma.

 

10 years ago

Michuzi

MAKATIBU WAPEWA PIKIPIKI NA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA WA ARUSHA

SAM_3542Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Mkoa wa Arusha na Mbunge wa Africa Mashariki  Mh.Bernard Murunya amabye alikuwa mgeni rasmi katika tukio la kukabidhi pikipiki,akimkabidhi moja ya Pikipiki kwa katibu jumuiya ya wazazi Wilaya ya Arusha Rehema Mohamed jana katika makao makuu ya chama  hicho jijini Arusha, jumla ya pikipiki saba zilikabidhiwa kwa Wilaya saba katika Mkoa wa Arusha huku Mwenyekiti wa Taifa  Abdalah Bulembo pamoja Baraza kuu Taifa wakifanya jitihada za kupatikana kwa Pikipiki...

 

11 years ago

Habarileo

Asilimia 55 ya maji Dar hayawafikii watumiaji

ASILIMIA 55.5 ya maji jijini Dar es Salaam yamekuwa yakipotea na hayawafikii watumiaji, kutokana na kuibwa na uchakavu wa miundombinu.

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WILAYANI KIBAHA WAPATIWA MAJI BURE

Na John Gagarini, Kibaha
WAKAZI wa Mitaa ya Vikawe, Vikawe Shuleni, Vikawe Bondeni na Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani wamepatiwa ofa ya kutumia maji bure kwa miezi mitatu baada ya huduma hiyo kuanza kupatikana ambapo mitaa hiyo haikuwa na maji ya bomba tangu kuanzishwa kwake.
Maji hayo tayari yameshaanza kutoka yanatokana na chanzo cha maji cha Ruvu Juu baada ya mitaa hiyo kutokuwa na maji kabisa ambapo awali walikuwa wakitumia maji ya visima na mto .
Akizungumza na mabalozi, makatibu na...

 

9 years ago

Michuzi

ONGEZENI IDADI YA WATUMIAJI MAJI DAR – PROF MBARAWA

Mh. Prof. Mbarawa akiongea na menejimenti ya Dawasco na Dawassa kwenye ukumbi wa Dawasco gerezani,mwishoni mwa wiki jijini Dar.(picha na Emmanuel Massaka wa Globu ya jamii) .Mh. Prof. Makame Mbarawa akisaini kitabu cha wageni akiwa na Naibu waziri,Injinia Isack Kamwelwe (kushoto), pamoja na katibu mkuu na naibu katibu mkuu wa wizara ya maji (kulia) katika ofisi ya afisa mtendaji mkuu wa Dawasco.  Waziri wa maji mh. Prof. Makame Mbarawa akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Dawasco mapema...

 

9 years ago

Michuzi

MAJALIWA AKABIDHI MSAADA WA PIKIPIKI NA PAMPU ZA MAJI

pu3Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi  Bw.Bakari Amir pampu  mbili za kusukuma maji na mipira yake, Mwenyekiti wa kikundi cha kufyatua matofali ya kuchoma cha Jitumecha kilichopo eneo la Gogovivu wilayani Ruangwa  Desemba 23, 2015.  Pampu hizo zitawapunguzia wnakikundi mzigo wa kubeba maji toka mtoni.  pu4 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi funguo na kadi ya pikipiki Mwenyekiti wa kikundi cha Bodaboda Mkowe cha kijiji cha Nandagara, Yahya Chitanda ambayo ameikipatia kikundi...

 

10 years ago

Michuzi

MAKATIBU WA CCM MKOA WA ARUSHA WAPEWA PIKIPIKI NA JUMUIYA YA WAZAZI MKOA

SAM_3542Mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi Mkoa wa Arusha na Mbunge wa Africa Mashariki  Mh.Bernard Murunya amabye alikuwa mgeni rasmi katika tukio la kukabidhi pikipiki,akimkabidhi moja ya Pikipiki kwa katibu jumuiya ya wazazi Wilaya ya Arusha Rehema Mohamed jana katika makao makuu ya chama  hicho jijini Arusha, jumla ya pikipiki saba zilikabidhiwa kwa Wilaya saba katika Mkoa wa Arusha huku Mwenyekiti wa Taifa  Abdalah Bulembo pamoja Baraza kuu Taifa wakifanya jitihada za kupatikana kwa Pikipiki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani