Chunya yapata maji kwa asilimia 67
SERIKALI imesema upatikanaji wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri, alitoa kauli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AuJ8qUUo8Jc/U2M-CSZSy6I/AAAAAAACgCA/sRYigtCBzdM/s72-c/Sw+1.jpg)
Swissport yapata ongezeko la faida kwa asilimia 17
![](http://3.bp.blogspot.com/-AuJ8qUUo8Jc/U2M-CSZSy6I/AAAAAAACgCA/sRYigtCBzdM/s1600/Sw+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Tm2Y3g88lM/U2M-C8O--MI/AAAAAAACgCE/NpBTUuJhjlM/s1600/Sw+2.jpg)
9 years ago
Michuzi21 Dec
SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Chunya wapata maji chini ya kiwango
UPATIKANAJI wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7 chini ya lengo la maji la asilimia 95 kwa mijini. Takwimu hizo zilitolewa bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka
![](https://1.bp.blogspot.com/-vBhI3bi6Cgw/XkYq6oVJ2BI/AAAAAAALdVI/9rkR9juH-wIJZWwl7udnkn4BdhXbsbQhgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-NA-2-3-1024x683.jpg)
Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...
10 years ago
GPLMEDO YAPATA UDHAMINI WA ASILIMIA TANO
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Kampuni ya LETSHEGO/Faidika yapata asilimia 75 ya hisa katika benki ya Advans Tanzania!
Mtendaji Mkuu wa Afrika Mashariki wa kampuni ya Letshego, Bwana Tom Kocsis akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho mpya wa kununua hisa asilimia 75 za benki ya Advans Tanzania. wengine ni maafisa waandamizi wa kampuni hiyo (Picha zote na Andrew Chale)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM-TANZANIA] Kampuni ya LETSHEGO Holding Limited yenye makao yake makuu nchini Botswana ambayo kwa Tanzania ikijulikana kama taasisi ya Mikopo ya Faidika, imetangaz...
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014
Meneja Fedha Mwandamizi Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9 mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina, Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...
11 years ago
Habarileo31 Dec
Asilimia 35 ya maji yaliyozalishwa yapotea
WASTANI wa asilimia 35 ya maji yaliyozalishwa na mamlaka za maji mwaka huu, yamepotea bila kuwafikia wateja huku Kampuni ya Majisafi na Taka Dar es Salaam (DAWASCO) ikiongoza kwa kuwa na kiwango kikubwa.