Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chunya yapata maji kwa asilimia 67

SERIKALI imesema upatikanaji wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri, alitoa kauli...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Swissport yapata ongezeko la faida kwa asilimia 17

 Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Swissport Tanzania Bw Gaudence Kilasara Temu akizungumza na wanahisa wa kampuni hiyo wakati wa mkutano wao Mkuu wa Mwaka uliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano jioni.  Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni ya Swissport Tanzania Jeroen de Clercqakizungumza na wanahisa wa kampuni hiyo wakati wa mkutano wao Mkuu wa Mwaka uliyofanyika jijini Dar es Salaam Jumatano jioni. Wapili kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya hiyo Bw Gaudence...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Elias John Tarimo akizindua Mradi wa Kisima cha Maji Kijiji cha Ngwala Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya kilicho jengwa na Kampuni ya utafiti wa madini yaPeak Resources Katika kata ya Ngwala Wilayani humo.Baadhi ya Wananchi wakishuhudia uzinduzi wa Mradi wa Maji Kijiji cha Ngwala Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya.
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chunya wapata maji chini ya kiwango

UPATIKANAJI wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7 chini ya lengo la maji la asilimia 95 kwa mijini. Takwimu hizo zilitolewa bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri...

 

5 years ago

Michuzi

Maduhuli ya Madini Chunya Yazidi kupaa, Yafikia Bilioni 24.1 sawa na lengo la asilimia 128 ya lengo la mwaka


Kutoka kulia waliosimama Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Mhandisi Maryprisca Mahundi wakiangalia namna uchenjuaji wa dhahabu unavyofanyika katika Kiwanda cha Uchenjuaji Dhahabu cha PM kilichopo katika eneo la Makongolosi Wilayani Chunya Mkoani Mbeya. Imeelezwa kuwa kuanzia kipindi cha mwaka wa fedha 2019/2020 kilichoanza Julai, 2019 hadi Januari 31, 2020, ofisi yake imefanikiwa kukusanya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 24.173 ikiwa ni...

 

10 years ago

GPL

MEDO YAPATA UDHAMINI WA ASILIMIA TANO

Meneja Uhusiano na Mawasiliano Medo, Jimmy Mbulingwe akiwa na Mkurungezi Msaidizi wa Suky,  Kiki wakiongea na waandishi wa habari. Jimmy Mbulingwe, wakipeana mkiono na Kiki Mussa baada ya kuingia mkataba wa mwaka mmoja kuisaidia taasisis hiyo. Waandishi wa habari wakisuhudia makubaliano hayo.…

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya LETSHEGO/Faidika yapata asilimia 75 ya hisa katika benki ya Advans Tanzania!

DSC_1794

Mtendaji Mkuu wa Afrika Mashariki wa kampuni ya Letshego, Bwana Tom Kocsis akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa  utambulisho mpya wa kununua hisa asilimia 75 za benki ya Advans Tanzania.  wengine ni maafisa waandamizi wa kampuni hiyo (Picha zote na Andrew Chale)

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM-TANZANIA] Kampuni ya LETSHEGO Holding Limited  yenye makao yake makuu nchini Botswana ambayo kwa Tanzania ikijulikana kama  taasisi ya Mikopo ya Faidika, imetangaz...

 

10 years ago

Dewji Blog

Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014

EXIM Q3 PIX 1

Meneja Fedha Mwandamizi  Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9  mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina,  Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...

 

11 years ago

Habarileo

Asilimia 35 ya maji yaliyozalishwa yapotea

WASTANI wa asilimia 35 ya maji yaliyozalishwa na mamlaka za maji mwaka huu, yamepotea bila kuwafikia wateja huku Kampuni ya Majisafi na Taka Dar es Salaam (DAWASCO) ikiongoza kwa kuwa na kiwango kikubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani