MEDO YAPATA UDHAMINI WA ASILIMIA TANO
Meneja Uhusiano na Mawasiliano Medo, Jimmy Mbulingwe akiwa na Mkurungezi Msaidizi wa Suky,  Kiki wakiongea na waandishi wa habari. Jimmy Mbulingwe, wakipeana mkiono na Kiki Mussa baada ya kuingia mkataba wa mwaka mmoja kuisaidia taasisis hiyo. Waandishi wa habari wakisuhudia makubaliano hayo.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-MmFuu_FHOI4/VfpEIuNGtyI/AAAAAAABH1g/lvSnHN3HBlM/s72-c/TASWA.jpg)
TASWA YAPATA UDHAMINI WA MILIONI 50 TUZO ZA WANAMICHEZO TOKA TAASISI YA GSM
![](http://2.bp.blogspot.com/-MmFuu_FHOI4/VfpEIuNGtyI/AAAAAAABH1g/lvSnHN3HBlM/s640/TASWA.jpg)
TAASISI ya GSM Foundation ya Dar es Salaam imetoa Sh milioni 50 kwa ajili ya kudhamini tuzo za wanamichezo waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete. Utoaji wa tuzo hizo utafanyika Oktoba 8, mwaka huu ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam, ambapo wanamichezo pia watatumia tuzo hizo zilizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) kumuaga Rais Kikwete anayemaliza muda wake kikatiba.
Kwa mujibu wa TASWA licha ya kumuaga Rais Kikwete...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Chunya yapata maji kwa asilimia 67
SERIKALI imesema upatikanaji wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri, alitoa kauli...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AuJ8qUUo8Jc/U2M-CSZSy6I/AAAAAAACgCA/sRYigtCBzdM/s72-c/Sw+1.jpg)
Swissport yapata ongezeko la faida kwa asilimia 17
![](http://3.bp.blogspot.com/-AuJ8qUUo8Jc/U2M-CSZSy6I/AAAAAAACgCA/sRYigtCBzdM/s1600/Sw+1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8Tm2Y3g88lM/U2M-C8O--MI/AAAAAAACgCE/NpBTUuJhjlM/s1600/Sw+2.jpg)
10 years ago
Habarileo01 Jul
Asilimia 75 wajiunga kidato cha tano
JUMLA ya wanafunzi 55,003 wakiwemo wasichana 23,303 na wavulana 31,700 sawa na asilimia 74.58 ya waafunzi 73,754 waliostahili kuingia kidato cha Tano Tanzania Bara kwa mwaka 2015 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ufundi kwenye shule za bweni na kutwa.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Ndumbaro aivimbia kamati TFF makato ya asilimia tano
11 years ago
Mwananchi01 May
Gawio la hisa Twiga Cement lapanda kwa asilimia tano
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
Kampuni ya LETSHEGO/Faidika yapata asilimia 75 ya hisa katika benki ya Advans Tanzania!
Mtendaji Mkuu wa Afrika Mashariki wa kampuni ya Letshego, Bwana Tom Kocsis akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa utambulisho mpya wa kununua hisa asilimia 75 za benki ya Advans Tanzania. wengine ni maafisa waandamizi wa kampuni hiyo (Picha zote na Andrew Chale)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM-TANZANIA] Kampuni ya LETSHEGO Holding Limited yenye makao yake makuu nchini Botswana ambayo kwa Tanzania ikijulikana kama taasisi ya Mikopo ya Faidika, imetangaz...
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014
Meneja Fedha Mwandamizi Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9 mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina, Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s72-c/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s400/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...