Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gawio la hisa Twiga Cement lapanda kwa asilimia tano

Gawio la hisa kwa wanahisa wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC) kwa mwaka 2013 limepanda kwa asilimia tano. Ongezeko hilo lilitangazwa na Mkurugenzi Mtendaji wa TPCC, Alfonso Rodriguez kwenye Mkutano Mkuu wa 22 wa Mwaka uliofanyika juzi jijini hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Tanga Cement yatoa gawio la hisa shilingi 7 bilioni kwa wanahisa wake

05

Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Saruji Tanga (TCCL), David Lee ( wa pili kushoto) akisoma taarifa za fedha za kampuni hiyo wakati wa mkutano wa 20 wa mwaka wa wanahisa wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement, Reinhardt Swart, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Lawrence Masha, na mjumbe mwingine wa bodi hiyo, Dr. Stephan Olivier.

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania,

KAMPUNI ya Saruji ya Tanga cement...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 48 MWAKA 2019: ONGEZEKO LA ASILIMIA 45% KULINGANISHA NA GAWIO LA MWAKA 2018

Mkutano Mkuu wa 20 wa Wanahisa wa Benki ya NMB (AGM) umepitisha azimio la kulipa gawio la shilingi Bilioni 48 kwa wanahisa ambapo kila Mwanahisa atapata Shilingi 96 kwa hisa. Mkutano huo ulifanyika kwa mara ya kwanza kwa njia ya mtandao Ijumaa iliyopita.  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna akimkabidhi wasilisho na Muhtasari wa Mkutano Mkuu wa 20 wa wanahisa wa Benki ya NMB, Mwenyekiti wa Muda wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NMB, Bi Margaret Ikongo (Kushoto) mara baada...

 

10 years ago

Michuzi

Twiga Cement Watoa somo kwa watengeneza matofali Tanga

 Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC),  Simon Delens (kushoto), akizungumza katika semina ya utengenezaji wa matofali iliyoandaliwa na kampuni hiyo ambapo zaidi ya watengeneza matofali 200 walifundishwa jinsi ya utengenezaji bora wa tofali, masuala ya afya na usalama kazini na biashara ya bidhaa hiyo. Semina hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kushoto kwake ni Mhandisi Emmanuel Owoya na Meneja Usambazaji, Tumaini Joseph. Mkurugenzi wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Faida na hasara za kuuza hisa wakati wa gawio

Kuanzia mwezi ujao kampuni nyingi ambazo zimeorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) zitaanza kutoa taarifa zao za fedha kwa umma kupitia magazeti mbalimbali, taarifa hizo zinakuwa ni za kuanzia mwaka wa fedha ulioishia 31 Desemba 2013.

 

9 years ago

Dewji Blog

Manchester City yauza hisa asilimia 13 kwa kampuni ya kichina

mansour_1112370a

Mmiliki wa Klabu ya Manchester City’s Sheikh Mansour (kulia) akifurahi jambo na Mwenyekiti wa klabu ya Manchester City’s Khaldoon Al Mubarak  katika moja ya mechi za klabu hiyo.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kampuni ya City Football Group (CFG) ambao ndiyo wamiliki wa Manchester City FC, New York City FC na Melbourne FC wameuza hisa asilimia 13 kwa Kampuni ya Habari ya China (CMC) kwa Dola za Kimarekani Milioni 400.

Hisa hizo zimeuzwa na Sheikh Mansour ambae ndiyo mmiliki wa kampuni ya CFG...

 

11 years ago

Dewji Blog

Twiga Cement dividends up 5%

01

Tanzania Portland Cement Co Ltd (TPCC)Managing Director, Alfonso Rodriguez addressing the company’s shareholders during the TPCC 22nd  Annual General Meeting in Dar es Salaam on Tuesday.  On his left are board members; Company Secretary, Amon Elieneza, Board Chairman, Jean-Marc Junon and Joseph Rugumyamheto who is also TPCC board member.

By Staff Writer

Shareholders for Tanzania Portland Cement Company (TPCC) Limited will be smiling all the way to the bank as the company has increased 2013...

 

11 years ago

TheCitizen

Twiga Cement approves dividend

Tanzania Portland Cement Company (TPCC) has approved a Sh195 dividend per share, a five per cent increase from that of 2012.

 

10 years ago

TheCitizen

Twiga Cement shut over pollution

>The National Environment Management Council (NEMC) yesterday closed down indefinitely country’s biggest cement producer —Tanzania Portland Cement Company (TPCC) — over environmental pollution.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani