Chunya wapata maji chini ya kiwango
UPATIKANAJI wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7 chini ya lengo la maji la asilimia 95 kwa mijini. Takwimu hizo zilitolewa bungeni na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
Serikali ya Kijiji cha Kisaki Singida yakataa mradi wa Maji uliokuwa chini ya kiwango
Pichani ni tanki la maji lilijengwa kwa ajili ya kuhifadhia maji yatakayosambazwa katika Kijiji cha Kisaki.
Na Jumbe Ismailly, Singida
SERIKALI ya Kijiji cha Kisaki,katika Halmashauri ya Manispaa ya Singida imekataa kupokea mradi wa maji wa Kijiji hicho kwa madai kuwa mradi huo haujakidhi viwango vya ubora.
Maamuzi ya kuukataa mradi huo yalifikiwa kwenye kikao cha pamoja kati ya wajumbe wa serikali ya Kijiji,kamati ya mradi wa maji ya Kijiji hicho na wataalamu wa maji kutoka Manispaa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Chunya yapata maji kwa asilimia 67
SERIKALI imesema upatikanaji wa maji katika mji wa Chunya ni asilimia 67.7. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri, alitoa kauli...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Bunge la Katiba limekuwa chini ya kiwango
NI vigumu kuyaandika haya ninayoandika. Lakini wakati mwingine ni afadhali kuzungumza ukweli uwe huru. Ninayoyaandika hadharani yanawezekana yanajadiliwa kimya kimya katika mijadala isiyo rasmi. Ukweli ni kwamba kila anayefikiri sawasawa...
10 years ago
Mwananchi10 Jan
Mkandarasi lawamani kujenga barabara chini ya kiwango Mtwara
9 years ago
Michuzi21 Dec
SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...
9 years ago
MichuziTBS KUFANYA MSAKO MKALI NCHI NZIMA KUWABAINI WAUZAJI WA UMEME NURU 'SOLAR POWER PANELS' ZILIZO CHINI YA KIWANGO
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s72-c/07.jpg)
Chanzo cha maji cha Ruvu Chini kuwatua akina mama ndoo za maji
![](http://4.bp.blogspot.com/-jPiKrgIh-LU/VlmiIp_LyqI/AAAAAAAIIwk/QzZfz4BDAyQ/s640/07.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HGSyjo2g948/VlmiKAqUMlI/AAAAAAAIIww/2LL3Pn6iSPs/s640/08.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-n6SnvV-6I7U/VlmiFECqDFI/AAAAAAAIIv8/zxtfB1EvtdQ/s640/03.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Habarileo03 Jan
Mji wa Himo wapata maji safi
MAMLAKA ya Majisafi na Majitaka mjini Moshi (MUWSA) imetekeleza agizo la Serikali la kuwapatia huduma za maji wakazi wa mji wa Himo na vitongoji jirani, kwa kuanza kwa kuwapatia huduma hiyo bure huku mipango ya kulipia ikiandaliwa.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s72-c/Untitled.png)
MTAMBO WA MAJI RUVU JUU WAPATA HITILAFU
![](http://4.bp.blogspot.com/-BLIjQ06PJqA/VPcT6qHiNmI/AAAAAAAHHq4/xig3qiBiGK4/s1600/Untitled.png)
Mafundi wa DAWASCO wanaendelea na matengenezo ili kuhakikisha Huduma ya Maji inarejea katika hali ya...