PROF MBARAWA AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA USAMBAZAJI MAJI IKWIRIRI
![](https://1.bp.blogspot.com/-QBrE3PeUeyw/XkR0-7Dk74I/AAAAAAABKXg/XaIrOMJAFXM5gHHju-GTu0G9_yD_vRZ_QCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0001.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema tatizo la upatikanaji wa maji katika halmashauri ya utete na tarafa ya Ikwiriri ni kutokana na kutokuwa na mtandao mpana wa mabomba ya usambazaji maji kwa wananchi.
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5eNFTeevgg8/XkR0_XpyJ5I/AAAAAAABKXk/WyMSicKJ27wR9Pn8hZlZfCPqrEgnncO7gCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0002.jpg)
CHANGAMOTO YA MAJI KUTATULIWA IKWIRIRI
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
9 years ago
MichuziONGEZENI IDADI YA WATUMIAJI MAJI DAR – PROF MBARAWA
5 years ago
MichuziPROF. MBARAWA AFANYA UTEUZI WA WAKURUGENZI MAMLAKA ZA MAJI
UTEUZI WA WAKURUGENZI WA MAMLAKA ZA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA – ARUSHA NA SUMBAWANGA
Waziri wa Maji Mhe. Prof. Makame Mbarawa (Mb) amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Mamlaka za Maji na Usafi wa Mazingira za Arusha na Sumbawanga kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia leo tarehe 15 Mei, 2020.
Taarifa ya Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo imewataja walioteuliwa kuwa ni Mhandisi Justine Gordian Rujomba anayekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s72-c/734.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AAHIDI KUTAFUTA MBINU ZA KUTATUA CHANGAMOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s640/734.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aw5cVXbexfA/Vh6zVjhS6bI/AAAAAAAH_8U/FDpYSu-pbjs/s640/735.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_RGP_fLW7tc/Vh6zUyekx9I/AAAAAAAH_8I/GV5dQ4XDi4I/s640/736.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Ridhiwani aahidi kutatua kero ya maji
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kushughulikia kero ya maji kwa baadhi ya...
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.
Ridhiwani Kikwete...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA MAFINGA AAHIDI KUTATUA KERO YA MAJI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s72-c/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s640/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/e2b53de4-c083-49f6-bcc2-f23dc1b7cc5d.jpg)
Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.
************************
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yaridhishwa na miradi ya maji ya Kibiti, Ikwiriri
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.
Hussein Makame, MAELEO, Pwani
KAMATI ya Bunge ya Kilimo,...