WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s72-c/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.
************************
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-26.jpg)
ZIARA YA WAZIRI ZUNGU WILAYANI ILALA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s640/2-26.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiangalia mojawapo ya mabwawa ya majitaka yanayodaiwa na wananchi wa eneo la Buguruni Kisiwani kutokana na harufu mbaya na mazalia ya mbu na kusababisha magonjwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-19.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-29.jpg)
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA MACHIMBO YA MADINI YA KAOLIN WILAYANI KISARAWE
10 years ago
GPLWAZIRI LUKUVI AFANYA ZIARA MKOANI IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0iB8a8AjFbQ/UvCgBNYN5CI/AAAAAAAFKws/6UC9HEULdJo/s72-c/IMG_20140131_122943.jpg)
WAZIRI MAJI AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MRADI WA MAJI YA DHARURA KARATU
Pia, Prof. Maghembe alitembelea Halmashauri ya Mji wa Karatu kuangalia hali ya upatikanaji wa maji na utekelezaji wa miradi ya maji wilayani humo katika programu ya vijiji 10 ya BRN.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0iB8a8AjFbQ/UvCgBNYN5CI/AAAAAAAFKws/6UC9HEULdJo/s1600/IMG_20140131_122943.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI wa Ardhi William LUKUVI AFANYA ZIARA mkoani IRINGA KUTATUA MIGOGORO YA ARDH
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA KIWANDA CHA OCEAN ALLUMINIUM AMBACHO SHEHENA YA MALIGHAFI YAKE IMEKWAMA BANDARINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAZINGIRA MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI NA ENEO LA KINYEREZI LINALOPITA BOMBA LA GESI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
Waziriwa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwaonyesha wanahabari (Hawapo pichani) bomba la Gesi ya Songas liloangukiwa na mawe kutokana na athari za uchimbaji mchanga katika eneo hilo. Picha Charles Kombe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHO0xEyrwP0/Xt-VV8re63I/AAAAAAALtLw/wnJaJyXiuvE-w-B7l3C_uiSbxjG5SdKqQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu (Kulia) akiambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto (wa pili kushoto) askari wa Ulinzi na viongozi wa ngazi mbalimbali za kiserikali alipofanya ziara...
10 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI UMMY MWALIMU AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MASOKO YA MANISPAA ZA TEMEKE NA ILALA
10 years ago
Michuzi19 May
MANISPAA YA KINONDONI YAENDELEA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS LA KUONDOA MAJI KATIKA MAKAZI YA WATU TEGETA,BUNJU NA KUNDUCHI NA KUJENGA MFEREJI WA KUDUMU KUPITISHA MAJI YA MVUA KUELEKEA BAHARI YA HINDI
![AT1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT1.jpg)
![AT2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/AT2.jpg)