Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA MACHIMBO YA MADINI YA KAOLIN WILAYANI KISARAWE

 Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira ) Mussa Azzan Zungu akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwegelo, viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama pamoja na viongozi wengine mara baada ya kuwasili eneo la machimbo ya madini ya Kaolin wilayani Kisarawe. Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais( Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu amefanya ziara katika eneo la machimbo ya madini ya kaolin yanayomilikiwa na kampuni ya Rakkadlin Co. Ltd wilayani...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

ZUNGU AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI MPWAPWA



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasili ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma alipofanya ziara ya kikazi kukagua kukagua athari zilizosababishwa na korongo kubwa kando ya Mto Shaban Robert mwishoni mwa wiki.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe....

 

5 years ago

Michuzi

ZIARA YA WAZIRI ZUNGU WILAYANI ILALA JIJINI DAR ES SALAAM



Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiangalia mojawapo ya mabwawa ya majitaka yanayodaiwa na wananchi wa eneo la Buguruni Kisiwani kutokana na harufu mbaya na mazalia ya mbu na kusababisha magonjwa.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akikatiza juu ya daraja la kuvuka maji yanayotiririka kutoka viwandani eneo la Buguruni.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe....

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA







Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.

************************

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAZINGIRA MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI NA ENEO LA KINYEREZI LINALOPITA BOMBA LA GESI.


Waziriwa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwaonyesha wanahabari (Hawapo pichani) bomba la Gesi ya Songas liloangukiwa na mawe kutokana na athari za uchimbaji mchanga katika eneo hilo. Picha Charles Kombe.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu (Kulia) akiambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto (wa pili kushoto) askari wa Ulinzi na viongozi wa ngazi mbalimbali za kiserikali alipofanya ziara...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA KIWANDA CHA OCEAN ALLUMINIUM AMBACHO SHEHENA YA MALIGHAFI YAKE IMEKWAMA BANDARINI

 Waziri Zungu akikagua bidhaa za Sufuria zinazozalishwa na kiwanda cha Ocean Alluminium wakati alipofanya ziara kiwandani hapo. Picha na Charles Kombe Waziri Zungu akikagua baadhi ya nyaraka mbalimbali za kimazingira za kiwanda cha Ocean Alluminium alipofika katika kiwanda hicho. Picha na Charles Kombe
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mussa Azzan Zungu (Kulia) akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira wakati...

 

11 years ago

Michuzi

WAZIRI WA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI AFANYA ZIARA WILAYANI MVOMERO

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Anna Tibaijuka akipata maelezo ya jiwe la alama ya mpaka (beacon) unaotenganisha vijiji vya Dihombo na Mkindo wilayani Mvomero kabla ya kukabidhi hatimiliki za kimila jana. Hatua ya kutolewa hati ni baada ya kazi ya kupanga matumizi ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji na hatimaye kumaliza mgogoro uliokuwepo awali. Anayetoa maelezo ni Mpima Ardhi kutoka Wizara ya Ardhi Bw. Musa Stephen. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA TABORA

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati) akitoa maelekezo kwa uongozi wa kijiji cha Tura wilayani Uyui mkoani Tabora kuhakikisha umefanya mkutano na wananchi ili kufanya makubaliano jinsi ya kusimamia mradi wa umeme wa kontena ili wananchi waanze kunufaika mara moja.
Mtaalamu kutoka Kampuni ya Chico – CCC, Luo Xiaoyong (kulia) akitoa maelezo kwa Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (kushoto) juu ya hatua iliyofikiwa ya utekelezaji wa mradi wa kusambaza...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA

Na Veronica Simba
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI MKUU WA AUSTRALIA MAGHARIBI KIM HAMES AFANYA ZIARA WIZARA YA NISHATI NA MADINI

Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Afya na Utalii kutoka Australia Magharibi Kim Hames (kushoto) akimweleza Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) maeneo ambayo nchi ya Australia ingependa kuwekeza. Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akimshukuru Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Afya na Utalii kutoka Australia Magharibi Kim Hames (kushoto) mara baada ya kumkabidhi zawadi. Wengine ni ujumbe ulioambatana na Naibu Waziri Mkuu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani