WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA MACHIMBO YA MADINI YA KAOLIN WILAYANI KISARAWE
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira ) Mussa Azzan Zungu akiambatana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Jokate Mwegelo, viongozi wa kamati ya ulinzi na usalama pamoja na viongozi wengine mara baada ya kuwasili eneo la machimbo ya madini ya Kaolin wilayani Kisarawe.
Waziri wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais( Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu amefanya ziara katika eneo la machimbo ya madini ya kaolin yanayomilikiwa na kampuni ya Rakkadlin Co. Ltd wilayani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-BgUBFMWSZdg/XpwJ--_1m2I/AAAAAAALnYo/6_ae_nGeHZw1i-g0ZtiIoxwE-4hnvQSxACLcBGAsYHQ/s72-c/1-31.jpg)
ZUNGU AFANYA ZIARA YA KIKAZI WILAYANI MPWAPWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-BgUBFMWSZdg/XpwJ--_1m2I/AAAAAAALnYo/6_ae_nGeHZw1i-g0ZtiIoxwE-4hnvQSxACLcBGAsYHQ/s640/1-31.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasili ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma alipofanya ziara ya kikazi kukagua kukagua athari zilizosababishwa na korongo kubwa kando ya Mto Shaban Robert mwishoni mwa wiki.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2-22.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s72-c/2-26.jpg)
ZIARA YA WAZIRI ZUNGU WILAYANI ILALA JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://1.bp.blogspot.com/-f7BTIu3lNUM/Xkg_oIdNLPI/AAAAAAALdh0/XoVrkxHgiocoe0lmn6WH3E-FwjeqtI6cwCLcBGAsYHQ/s640/2-26.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu akiangalia mojawapo ya mabwawa ya majitaka yanayodaiwa na wananchi wa eneo la Buguruni Kisiwani kutokana na harufu mbaya na mazalia ya mbu na kusababisha magonjwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-19.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-29.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s72-c/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s640/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/e2b53de4-c083-49f6-bcc2-f23dc1b7cc5d.jpg)
Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.
************************
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s72-c/PIC%2B2.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MAZINGIRA MRADI WA MACHINJIO YA VINGUNGUTI NA ENEO LA KINYEREZI LINALOPITA BOMBA LA GESI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-AR_smzLKgT4/Xt-VXHh1HmI/AAAAAAALtL0/rn2ukRANnWo7k2nVNHMSvEElzJCYLIGagCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B2.jpg)
Waziriwa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu akiwaonyesha wanahabari (Hawapo pichani) bomba la Gesi ya Songas liloangukiwa na mawe kutokana na athari za uchimbaji mchanga katika eneo hilo. Picha Charles Kombe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHO0xEyrwP0/Xt-VV8re63I/AAAAAAALtLw/wnJaJyXiuvE-w-B7l3C_uiSbxjG5SdKqQCLcBGAsYHQ/s640/PIC%2B1.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu (Kulia) akiambatana na Meya wa Manispaa ya Ilala Omari Kumbilamoto (wa pili kushoto) askari wa Ulinzi na viongozi wa ngazi mbalimbali za kiserikali alipofanya ziara...
5 years ago
MichuziWAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA KIWANDA CHA OCEAN ALLUMINIUM AMBACHO SHEHENA YA MALIGHAFI YAKE IMEKWAMA BANDARINI
11 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI AFANYA ZIARA WILAYANI MVOMERO
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA TABORA
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MIKOA YA LINDI, MTWARA
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene amefanya ziara mkoani Lindi na Mtwara mwanzoni mwa wiki kukagua miradi mbalimbali iliyo chini ya Wizara yake ambapo aliahidi huduma za umeme na maji kwa wananchi mbalimbali.
Akiwa Madimba mkoani Mtwara, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa mtambo wa kuchakata gesi, Waziri Simbachawene alimwagiza Msimamizi Mkuu wa Mradi wa Bomba la gesi, Mhandisi Kapuulya Musomba kutoa huduma ya maji safi kwa wananchi wanaozunguka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s72-c/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
NAIBU WAZIRI MKUU WA AUSTRALIA MAGHARIBI KIM HAMES AFANYA ZIARA WIZARA YA NISHATI NA MADINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ld3ApoPSZ5M/VWiXtYoI2GI/AAAAAAAHasg/nM8aQ3WlMYo/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-weB5OHkLpzw/VWiXtSwGNQI/AAAAAAAHask/5u_1OjBnQ4A/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)