Ridhiwani aahidi kutatua kero ya maji
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kushughulikia kero ya maji kwa baadhi ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.
Ridhiwani Kikwete...
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA MAFINGA AAHIDI KUTATUA KERO YA MAJI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Aahidi kutatua kero huduma za jamii
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Tendega aahidi kutatua kero za kilimo Kalenga
10 years ago
Habarileo21 Mar
Kinana atembelea alikozaliwa, aahidi kutatua kero ya ardhi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amefika katika kijiji alichozaliwa na kusoma elimu ya msingi cha Mbughuni wilayani Arumeru mkoani Arusha na kuahidi kusaidia kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBrE3PeUeyw/XkR0-7Dk74I/AAAAAAABKXg/XaIrOMJAFXM5gHHju-GTu0G9_yD_vRZ_QCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0001.jpg)
PROF MBARAWA AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA USAMBAZAJI MAJI IKWIRIRI
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema tatizo la upatikanaji wa maji katika halmashauri ya utete na tarafa ya Ikwiriri ni kutokana na kutokuwa na mtandao mpana wa mabomba ya usambazaji maji kwa wananchi.
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
9 years ago
StarTV28 Dec
KKKT Mpata Mbeya wabuni mbinu kusaidia wananchi kutatua kero ya maji
Uongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT usharika wa Mpata katika halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya umebuni mbinu ya kuwasaidia wakazi wa kijiji cha Mpata kutatua kero ya maji waliyodumu nayo tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho miaka mingi iliyopita.
Kanisa hilo limebuni mbinu ya kutega mabomba ya maji kutoka kwenye vyanzo vya maji vilivyo jirani na kijiji hicho na kuanzisha ujenzi wa mradi mkubwa wa maji wenye thamani zaidi ya shilingi milioni hamsini.
Lengo la mradi huo ni...
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Mbunge wa Morogoro mjini atumia zaidi ya milioni 20 kutatua kero ya maji kata ya Mlimani
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akikagua Vifuko vya mndihira na Mwere Vilivyo Kata ya mlimani Ambavyo Vimegarimu Kiasi cha Shilingi Milion 3 zilizotolewa na Mbunge huyo.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akipanda Safu ya Milima Uluguru...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA MOROGOR MJINI ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 20 KUTATUA KERO YA MAJI KATA YA MLIMANI
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini.