Aahidi kutatua kero huduma za jamii
Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa ameahidi kutatua kero ya zahanati katika Kijiji cha Mfukulembe endapo atapata nafasi ya kuwatumikia wananchi wa jimbo hilo kama mbunge wao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Ridhiwani aahidi kutatua kero ya maji
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kushughulikia kero ya maji kwa baadhi ya...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Tendega aahidi kutatua kero za kilimo Kalenga
10 years ago
Habarileo21 Mar
Kinana atembelea alikozaliwa, aahidi kutatua kero ya ardhi
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amefika katika kijiji alichozaliwa na kusoma elimu ya msingi cha Mbughuni wilayani Arumeru mkoani Arusha na kuahidi kusaidia kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wananchi.
9 years ago
MichuziMGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA MAFINGA AAHIDI KUTATUA KERO YA MAJI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
EABC kutatua kero za wawekezaji
MWENYEKITI wa Baraza la Jumuiya ya Afrika Mashariki la Biashara (EABC), Felix Mosha, amesema baraza hilo litahakikisha linazipatia ufumbuzi changamoto zinazowakabili wawekezaji wa sekta binafsi na wafanyabiashara. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Bodi za mazao zatakiwa kutatua kero za wakulima
9 years ago
StarTV01 Dec
Madiwani Iringa wahimizwa kutatua kero za wananchi
Baraza jipya la Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Iringa limezinduliwa rasmi huku madiwani hao wakitarajiwa kuanza mara moja kukabiliana na changamoto ya njaa inayoikabili wilaya hiyo.
Zaidi ya watu 70,000 wanakabiliwa na Baa la njaa katika vijiji 43 vya kata tisa katika wilaya hiyo huku Tarafa ya Isimani ikiwa imeathirika zaidi.
Mh.Ponsiano Kayage, mmoja wa madiwani 40 wa halmashauri hiyo wakati akiapa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Iringa katika Mkutano maalum...
10 years ago
Habarileo24 Dec
Maalim Seif awataka wabunge kutatua kero
WABUNGE na Wawakilishi wametakiwa kuzipatia ufumbuzi kero na matatizo yanayowakabili wananchi katika majimbo ya uchaguzi kwa lengo la kuleta maendeleo.
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Askofu: Hakuna muujiza kutatua kero Serikali mbili