Madiwani Iringa wahimizwa kutatua kero za wananchi
Baraza jipya la Madiwani katika halmashauri ya wilaya ya Iringa limezinduliwa rasmi huku madiwani hao wakitarajiwa kuanza mara moja kukabiliana na changamoto ya njaa inayoikabili wilaya hiyo.
Zaidi ya watu 70,000 wanakabiliwa na Baa la njaa katika vijiji 43 vya kata tisa katika wilaya hiyo huku Tarafa ya Isimani ikiwa imeathirika zaidi.
Mh.Ponsiano Kayage, mmoja wa madiwani 40 wa halmashauri hiyo wakati akiapa mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Iringa katika Mkutano maalum...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Mbunge mteule wa Busanda ahidi kutatua kero za wananchi Geita
Msimamizi wa Uchaguzi, Ali Kidwaka akitangaza matokeo ya Ubunge jimbo la Busanda na Geita.
Mbunge mteule wa Busanda Bi Lolesia Bukwimba akiongea na Wanahabari mara baaada ya kutangazwa mshindi.
Diwani Mteule wa kata ya Lwamgasa jimbo la Busanda, Joseph Kaparatus akishangilia ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi.
Na Alphonce Kabilondo, Geita
MBUNGE mteule wa jimbo la Busanda wilayani Geita (CCM), Bi. Lolesia Jeremia Bukwimba amesema kuwa atahakikisha ana shirikiana na wananchi wake...
5 years ago
MichuziTHBUB YAZITAKA AZAKI WASHIRIKA KUJIKITA KUTATUA KERO ZA WANANCHI
Mkurugenzi wa HUPEMEF, Mchungaji Saimon Chemu (Kulia) akitoa maelezo mafupi kwa Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (Kushoto) alipotembelea ofisi za Taasisi hiyo zilizopo Wilayani Magu, jijini Mwanza Aprili 21, 2020.
Mwenyekiti wa THBUB, Jaji (Mst.) Mathew Mwaimu (Katikati- waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Taasisi ya HUPEMEF. Kulia waliokaa ni Afisa Mfawidhi wa Ofisi za THBUB Kanda ya Ziwa, Albert Kakengi, na wapili kulia ni Katibu wa Mtandao AZAKI Wilayani...
9 years ago
StarTV28 Dec
KKKT Mpata Mbeya wabuni mbinu kusaidia wananchi kutatua kero ya maji
Uongozi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT usharika wa Mpata katika halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya umebuni mbinu ya kuwasaidia wakazi wa kijiji cha Mpata kutatua kero ya maji waliyodumu nayo tangu kuanzishwa kwa kijiji hicho miaka mingi iliyopita.
Kanisa hilo limebuni mbinu ya kutega mabomba ya maji kutoka kwenye vyanzo vya maji vilivyo jirani na kijiji hicho na kuanzisha ujenzi wa mradi mkubwa wa maji wenye thamani zaidi ya shilingi milioni hamsini.
Lengo la mradi huo ni...
5 years ago
MichuziNyasa kuanza ujenzi wa Kituo cha afya Kata ya Kingerikiti kutatua kero ya wananchi
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Nyasa Bw. Jimson Mhagama, wakati akiongea na wananchi wa Kata ya Kingerikiti kwa lengo la kutambulisha mradi na kuwashirikisha Wananchi ili waweze kushirikiana na Serikali kwa...
9 years ago
MichuziUWAJIBIKAJI WA VIONGOZI WA VIJIJI NI DHANA KUU YA KUTATUA KERO ZINAZOWAKABILI WANANCHI WANAO WAONGOZA
“Unakuja kwenye ofisi yangu na kutoa taarifa za ubadhirifu wa mtendaji wa kijiji. Nakuuliza, je umechukua hatua zipi kama kiongozi wa kijiji kabla kuja kwenye ofisi yangu? Unanijibu hapana, hii si sahihi,” Hayo ni maneno ya mkuu wa wilaya ya Ngorongoro, Hashim Mgandilwa, aliyoyatoa wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya wenyeviti wa vijiji, watendaji...
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Wananchi Iringa wahimizwa kunusuru hifadhi
WANANCHI wanaoishi kuzunguka maeneo ya hifadhi za taifa wameshauriwa kunusuru rasilimali zinazoendelea kupotea kutokana na matumizi mabaya ya ardhi katika maeneo hayo. Mratibu wa Mradi wa Kuboresha Mtandao wa Maeneo...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
EABC kutatua kero za wawekezaji
MWENYEKITI wa Baraza la Jumuiya ya Afrika Mashariki la Biashara (EABC), Felix Mosha, amesema baraza hilo litahakikisha linazipatia ufumbuzi changamoto zinazowakabili wawekezaji wa sekta binafsi na wafanyabiashara. Akizungumza na waandishi...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Aahidi kutatua kero huduma za jamii