Nyasa kuanza ujenzi wa Kituo cha afya Kata ya Kingerikiti kutatua kero ya wananchi
![](https://1.bp.blogspot.com/-tkD3ufp__sY/XlrFW50-HCI/AAAAAAALgKo/BwhA8X15h44s7it2b5_KwRle9G_KfJnlwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200228_154116.jpg)
Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa, inatarajia kuanza ujenzi wa Kituo cha afya katika Kata ya Kingerikiti, tarafa ya Mpepo, na kutatua kero ya wananchi wa kata hiyo waliokuwa wakisafiri umbali wa takriban Kilometa 40 kufuata huduma za matibabu katika Wilaya ya Mbinga.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Nyasa Bw. Jimson Mhagama, wakati akiongea na wananchi wa Kata ya Kingerikiti kwa lengo la kutambulisha mradi na kuwashirikisha Wananchi ili waweze kushirikiana na Serikali kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wz3pzQLdiZg/XuJN6GkQ-2I/AAAAAAALtdk/Oy1Venwc_ewKM-zBNgDMA_Lh6wQ_9YyswCLcBGAsYHQ/s72-c/26da6cd5-1fd1-4c01-bd8b-17c480d3d3a5.jpg)
JESHI LA POLISI ARUSHA LAANZA UJENZI KITUO KIDOGO CHA POLISI KATA YA KISONGO,ARUMERU KUONDOA KERO KWA WANANCHI
Akikabidhi eneo hilo kwa kuanza kupanda miti, Mkuu wa wilaya hiyo Muro, alisema kituo hicho kitasaidia kuimarisha ulinzi kwa jamii katika eneo hilo baada ya muda mrefu kuwepo matukio ya uhalifu.
Alisema eneo hilo ambalo linakuwa kwa kasi kumekuwepo na...
9 years ago
Dewji Blog12 Dec
Mbunge wa Jimbo la Chumbuni aanza kutekeleza ahadi zake kwa wananchi wake kwa ujenzi wa ukuta kituo cha Afya Chumbuni
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi
Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s72-c/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
JAFO AZINDUA KITUO CHA AFYA WILAYA YA KITETO, AWATAKA WAHUDUMU WA AFYA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KCJDtnmMhwQ/Xr2GfnCGKSI/AAAAAAALqRc/CFpyvjL1Q5w15fkE39S9zbHbecKCTzteQCLcBGAsYHQ/s640/64d3de49-bd61-444c-9eed-b6361a663742-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/b5c06735-ef65-4901-9094-4edc9a418852-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/09a3b3d2-a405-43e5-9eca-2d4b6b034c1a-1024x683.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Jan
Mbunge wa Morogoro mjini atumia zaidi ya milioni 20 kutatua kero ya maji kata ya Mlimani
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akikagua Vifuko vya mndihira na Mwere Vilivyo Kata ya mlimani Ambavyo Vimegarimu Kiasi cha Shilingi Milion 3 zilizotolewa na Mbunge huyo.
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood akipanda Safu ya Milima Uluguru...
10 years ago
MichuziMBUNGE WA MOROGOR MJINI ATUMIA ZAIDI YA MILIONI 20 KUTATUA KERO YA MAJI KATA YA MLIMANI
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood Akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kwenye Ofisi ya Mtendaji kata ya Mlimani Katika Mfululizo wa Ziara zake katika Kata mbalimbali Jimbo la Morogoro mjini.
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Bugadea yasaka fedha ujenzi kituo cha afya
WAKAZI wa Kata ya Buganguzi katika Wilaya ya Muleba, wameamua kuchangishana fedha kwa ajili ya kujenga kituo cha afya kitakachogharimu zaidi ya sh milioni 500. Uamuzi huo umefikiwa na wakazi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PD7nE7BENA4/XmZYX1yKQoI/AAAAAAALiTo/oy5tbqHFQo4cn0tTEySrbqYAzo3fVXIYgCLcBGAsYHQ/s72-c/97b14184-d89e-4c26-9d07-81c906714a42.jpg)
BENKI YA TPB YASAIDIA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MTII
Akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Senyamule, ameipongeza benki ya TPB kwa msaada mkubwa ilioutoa kwa ajili ya kumalizia eneo la OPD la kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa jamii. “Natoa shukrani zangu zadhati kwa benki...
10 years ago
Dewji Blog21 Aug
Raza apiga tafu ujenzi wa kituo cha afya Shelui
Diwani wa Kata ya Shelui (CCM) Omary Kinota JB akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nselembwe wakati wa mkutano wa hadhara juu ya maendeleo ya Kata hiyo sambamba na hafla ya kukabidhi mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya, mifuko hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Golden Coach Mohammed Raza.
Na Hillary Shoo, IRAMBA.
TATIZO la kina mama wajawazito na watoto kutembea umbali mrefu kwa ajili ya kutafuta huduma za afya katika Tarafa ya Shelui Wilayani Iramba,...