Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu: Hakuna muujiza kutatua kero Serikali mbili

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Dk. Martin Shao amesema hatarajii kuona miujiza katika kushughulikia kero za Muungano wa serikali mbili kwa kuwa suala hilo limeshindikana kwa miaka 50.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal: Hakuna muujiza wa kuokoa Man Utd

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal amesema hakuna muujiza wa kuimarisha hali ya klabu hiyo na lazima wahusika wote watie bidii.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI WILAYANI CHUNYA KWA KUSHIRIKIANA NA WADAU WAJIPANGA KUTATUA KERO ZA MAJI WILAYANI HUMO

Mkuu wa Wilaya ya Chunya Elias John Tarimo akizindua Mradi wa Kisima cha Maji Kijiji cha Ngwala Wilaya ya Chunya Mkoa wa Mbeya kilicho jengwa na Kampuni ya utafiti wa madini yaPeak Resources Katika kata ya Ngwala Wilayani humo.Baadhi ya Wananchi wakishuhudia uzinduzi wa Mradi wa Maji Kijiji cha Ngwala Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya.
Na Ezekiel Kamanga ,Mbeya,Jamiimojablog SERIKALI wilayani Chunya Mkoani Mbeya kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo wameendelea na jitihada mbalimbali katika...

 

9 years ago

Michuzi

Askofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo

 Maaskofu kutoka nchi mbalimbali wakiwasili katika viwanja vya Kanisa la Habari Njema kwa Wote, lililopo mpakani mwa Dar es Salaam na Bagamoyo, ambako kulifanyika sherehe za kumtawaza na kumtunuku shahada mbili za udaktari Askofu Dk. Charles Gadi Jumapili

Moja ya kikundi cha kwaya ambazo zilitumbuiza katika hafla hiyo.


 Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili

 Askofu Gadi akivikwa kofia kuashiria kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote...

 

11 years ago

Tanzania Daima

EABC kutatua kero za wawekezaji

MWENYEKITI wa Baraza la Jumuiya ya Afrika Mashariki la Biashara (EABC), Felix Mosha, amesema baraza hilo litahakikisha linazipatia ufumbuzi changamoto zinazowakabili wawekezaji wa sekta binafsi na wafanyabiashara. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ridhiwani aahidi kutatua kero ya maji

MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kushughulikia kero ya maji kwa baadhi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Aahidi kutatua kero huduma za jamii

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa ameahidi kutatua kero ya zahanati katika Kijiji cha Mfukulembe endapo atapata nafasi ya kuwatumikia wananchi wa jimbo hilo kama mbunge wao.

 

11 years ago

Mwananchi

Tendega aahidi kutatua kero za kilimo Kalenga

Mgombea ubunge kupitia Chadema, Grace Tendega amesema endapo wananchi watampa ridhaa na kumchagua kuwa mbunge wa Jimbo la Kalenga, atahakikisha anaishinikiza Serikali kuunda chombo kitakachosimamia suala la pembejeo za kilimo.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi za mazao zatakiwa kutatua kero za wakulima

Bodi za mazao nchini zimetakiwa kutatua kero mbalimbali zinazowakabili wakulima ili kuwajengea uwezo wa kuzalisha kwa wingi na kufikia mahitaji ya soko la ndani na nje.

 

10 years ago

Habarileo

Maalim Seif awataka wabunge kutatua kero

Maalim Seif Sharif HamadWABUNGE na Wawakilishi wametakiwa kuzipatia ufumbuzi kero na matatizo yanayowakabili wananchi katika majimbo ya uchaguzi kwa lengo la kuleta maendeleo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani