CHANGAMOTO YA MAJI KUTATULIWA IKWIRIRI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5eNFTeevgg8/XkR0_XpyJ5I/AAAAAAABKXk/WyMSicKJ27wR9Pn8hZlZfCPqrEgnncO7gCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0002.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiWAZIRI wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema tatizo la upatikanaji wa maji katika halmashauri ya utete na tarafa ya Ikwiriri ni kutokana na kutokuwa na mtandao mpana wa mabomba ya usambazaji maji kwa wananchi.
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBrE3PeUeyw/XkR0-7Dk74I/AAAAAAABKXg/XaIrOMJAFXM5gHHju-GTu0G9_yD_vRZ_QCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0001.jpg)
PROF MBARAWA AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA USAMBAZAJI MAJI IKWIRIRI
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema tatizo la upatikanaji wa maji katika halmashauri ya utete na tarafa ya Ikwiriri ni kutokana na kutokuwa na mtandao mpana wa mabomba ya usambazaji maji kwa wananchi.
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
10 years ago
Dewji Blog21 Jan
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji yaridhishwa na miradi ya maji ya Kibiti, Ikwiriri
Mkuu wa Wilaya ya Rufiji Nurdin Babu (kushoto) akimuongoza Kiongozi wa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Amina Makilagi aliyeambatana na wajumbe wengine wa kamati hiyo baada ya kuwasili ofisi za Mradi wa Maji Kibiti ulioko wilayani humo mkoani Pwani kabla ya kuukagua.Ukaguzi wa mradi huo ni sehemu ya ziara ya ukaguzi wa miradi ya maji katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara inayofanywa na wajumbe wa Kamati hiyo.
Hussein Makame, MAELEO, Pwani
KAMATI ya Bunge ya Kilimo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W1k4MJH2WZA/XmoglY1UcXI/AAAAAAALivA/00b2PAyKvyQoA1fODI77njBqSR82TUU0ACLcBGAsYHQ/s72-c/4aac1299-751c-415f-95fc-6b3099c9b322.jpg)
CHANGAMOTO ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA KUJADILIWA KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA itaungana na Mataifa mengine duniani kuadhimisha wiki ya maji ambayo itaanza Machi 16 hadi 22 mwaka huu huku kauli mbiu ikiwa ni " Maji na mabadiliko ya tabia nchi, uhakika wa maji salama kwa wote".
Wiki ya maji itaenda sambamba na siku ya maji ambapo ndio itakua kilele cha maadhimisho hayo ambayo yalianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1993 kupitia azimio na.47/193 ililofikiwa mwaka 1992 na Umoja wa Mataifa.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma,...
10 years ago
Habarileo23 Aug
Stamigold wakabiliwa na changamoto za maji
MGODI wa dhahabu wa Stamigold Biharamulo unakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji kutokana na kutegemea vyanzo viwili vya mto Muhama na Isobizi.
11 years ago
Habarileo09 May
Waziri akiri changamoto maji safi Mpanda
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Agrey Mwanri, amesema ni asilimia 48 tu ya wakazi wa Wilaya ya Mpanda, ndio wanapata maji safi na salama.
9 years ago
StarTV02 Sep
Wakazi Magu waombwa kuchagua viongozi watakao tatua changamoto ya maji.
Wakazi wa Magu mkoani Mwanza wameelezwa kuwa njia pekee ya kutatua matatizo ya kijamii ikiwemo ukosefu wa maji katika jimbo hilo ni kuchagua viongozi wanaokerwa na matatizo yanayoikumba jamii nzima na sio tatizo la mtu mmojammoja.
Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu amesema jimbo la Magu linakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo tatizo la maji ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka pamoja na changamoto mbalimbali zinazo ikabili jamii..
Katika ufunguzi wa kampeni katika jimbo la Magu...
5 years ago
BBCSwahili10 Apr
Virusi vya corona: Changamoto ya kuosha mikono wakati kuna uhaba wa maji
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s72-c/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
WAZIRI ZUNGU AFANYA ZIARA ILALA KUTATUA CHANGAMOTO ZA UCHAFUZI WA MFEREJI WA MAJI YA MVUA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zMrANytIglw/XvXhuYRyevI/AAAAAAALvhI/xRDFFlmrxxkV_luamSvfH3Or2kDF6WJewCLcBGAsYHQ/s640/813bedd9-7416-4ae7-99cb-d9a22caba06a.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Mh. Mussa Azzan Zungu akiwa pamoja na Wadau mbalimbali wakikagua mfereji wa kupitisha maji ya mvua uliopo mtaa wa Shaurimoyo katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/e2b53de4-c083-49f6-bcc2-f23dc1b7cc5d.jpg)
Sehemu ya mfereji huo wa kupitisha maji ya mvua ukionekana jinsi ulivyoharibika kutokana na kutotunzwa vizuri na Wananchi wa Mtaa wa Shaurimoyo.
************************
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu...
10 years ago
Mwananchi07 May
Tatizo linaloweza kutatuliwa na mauzo ya nje