Stamigold wakabiliwa na changamoto za maji
MGODI wa dhahabu wa Stamigold Biharamulo unakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji kutokana na kutegemea vyanzo viwili vya mto Muhama na Isobizi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kigamboni wakabiliwa changamoto ya usafiri
WAKAZI wa Kigamboni na vitongoji vyake jijini Dar es Salaam, wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwenda katikati ya jiji kutokana na kivuko cha MV Kigamboni kupelekwa nchini Kenya kwa matengenezo....
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Wakulima wa Tumbaku wakabiliwa na changamoto ya bei
Mkuu wa wilaya ya Manyoni,Bi Fatma Hassani Toufiq akifunga mkutano wa kwanza wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, uliofanyika hivi karibuni mjini hapa.
Baadhi ya wananchi,madiwani na wakulima wa zao la tumbaku wa tarafa ya Itigi waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni akiwemo Diwani wa kata ya Rungwa, Bwana Charles Machapaa wakiwa mkutanoni.(Picha zote na Jumbe...
9 years ago
StarTV09 Nov
Wazee Tanzania wakabiliwa na changamoto za upatikanaji wa mahitaji muhimu.
Nchi ya Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya 91 kati ya nchi 96 Duniani kwa Wazee kuwa kuishi katika hali hatarishi kwa kukosa mahitaji muhimu ikiwemo afya, elimu, chakula na malazi.
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la PADI Is-haka Msigwa ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma katika kutafuta njia ya kuwakwamua wazee ili waondokane na changamoto hiyo.
Mkurugenzi wa shirika la PADI linalohudumia wazee Nchini Tanzania Is-haka Msigwa amesema Tanzania ina wazee...
5 years ago
Michuzi11 Jun
WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0035.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0036.jpg)
***************************
NA MWAMVUA MWINYI
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe.
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali.
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W1k4MJH2WZA/XmoglY1UcXI/AAAAAAALivA/00b2PAyKvyQoA1fODI77njBqSR82TUU0ACLcBGAsYHQ/s72-c/4aac1299-751c-415f-95fc-6b3099c9b322.jpg)
CHANGAMOTO ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA KUJADILIWA KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA itaungana na Mataifa mengine duniani kuadhimisha wiki ya maji ambayo itaanza Machi 16 hadi 22 mwaka huu huku kauli mbiu ikiwa ni " Maji na mabadiliko ya tabia nchi, uhakika wa maji salama kwa wote".
Wiki ya maji itaenda sambamba na siku ya maji ambapo ndio itakua kilele cha maadhimisho hayo ambayo yalianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1993 kupitia azimio na.47/193 ililofikiwa mwaka 1992 na Umoja wa Mataifa.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5eNFTeevgg8/XkR0_XpyJ5I/AAAAAAABKXk/WyMSicKJ27wR9Pn8hZlZfCPqrEgnncO7gCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0002.jpg)
CHANGAMOTO YA MAJI KUTATULIWA IKWIRIRI
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
11 years ago
Habarileo09 May
Waziri akiri changamoto maji safi Mpanda
NAIBU Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Agrey Mwanri, amesema ni asilimia 48 tu ya wakazi wa Wilaya ya Mpanda, ndio wanapata maji safi na salama.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QBrE3PeUeyw/XkR0-7Dk74I/AAAAAAABKXg/XaIrOMJAFXM5gHHju-GTu0G9_yD_vRZ_QCNcBGAsYHQ/s72-c/wizarayamajitz-20200213-0001.jpg)
PROF MBARAWA AAHIDI KUTATUA CHANGAMOTO YA USAMBAZAJI MAJI IKWIRIRI
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema tatizo la upatikanaji wa maji katika halmashauri ya utete na tarafa ya Ikwiriri ni kutokana na kutokuwa na mtandao mpana wa mabomba ya usambazaji maji kwa wananchi.
Amesema hayo wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji katika tarafa ya Ikwiriri na kupata taarifa za mradi kutoka kwa wahandisi wanaoisimamia.
Mbarawa amesema, kuna changamoto ya upatikanaji wa maji halmashauri ya Utete na zaidi ni kutokana na...
9 years ago
StarTV02 Sep
Wakazi Magu waombwa kuchagua viongozi watakao tatua changamoto ya maji.
Wakazi wa Magu mkoani Mwanza wameelezwa kuwa njia pekee ya kutatua matatizo ya kijamii ikiwemo ukosefu wa maji katika jimbo hilo ni kuchagua viongozi wanaokerwa na matatizo yanayoikumba jamii nzima na sio tatizo la mtu mmojammoja.
Katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu amesema jimbo la Magu linakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo tatizo la maji ambalo linahitaji ufumbuzi wa haraka pamoja na changamoto mbalimbali zinazo ikabili jamii..
Katika ufunguzi wa kampeni katika jimbo la Magu...