Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee Tanzania wakabiliwa na changamoto za upatikanaji wa mahitaji muhimu.

Nchi ya Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya 91 kati ya nchi 96 Duniani kwa Wazee kuwa kuishi katika hali hatarishi kwa kukosa mahitaji muhimu ikiwemo afya, elimu, chakula na malazi.

Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la PADI Is-haka Msigwa ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma katika kutafuta njia ya kuwakwamua wazee ili waondokane na changamoto hiyo.

Mkurugenzi wa shirika la PADI linalohudumia wazee Nchini Tanzania Is-haka Msigwa amesema Tanzania ina wazee...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MKATABA KUHUSU MAHITAJI NA MATARAJIO YA WAZEE TANZANIA KUTOKA KATIKA SERIKALI YA AWAMU YA TANO 2015

UTANGULIZI


KWAMBA, sisi wazee wa Tanzania ambao tumewakilisha wazee wenzetu, kutoka mikoa yote nchini, tuliokutana kuanzia tarehe 24 hadi 26 Juni 2015, hapa Dar es Salaam tumechangia mawazo yetu katika kuandaa Mkataba huu na kuuridhia. Lengo la Mkataba huu ni kutambulisha umma wa Watanzania haki zetu, mahitaji yetu na changamoto tunazokumbana nazo ili ziweze kupatiwa ufumbuzi.

KWAMBA, Mkataba huu ni nyenzo ya kuhakikisha kuwa wagombea wote katika nafasi mbalimbali za uongozi na Serikali kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Stamigold wakabiliwa na changamoto za maji

MGODI wa dhahabu wa Stamigold Biharamulo unakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji kutokana na kutegemea vyanzo viwili vya mto Muhama na Isobizi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigamboni wakabiliwa changamoto ya usafiri

WAKAZI wa Kigamboni na vitongoji vyake jijini Dar es Salaam, wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwenda katikati ya jiji kutokana na kivuko cha MV Kigamboni kupelekwa nchini Kenya kwa matengenezo....

 

9 years ago

Dewji Blog

Wakulima wa Tumbaku wakabiliwa na changamoto ya bei

SAM_0435

Mkuu wa wilaya ya Manyoni,Bi Fatma Hassani Toufiq akifunga mkutano wa kwanza wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, uliofanyika hivi karibuni mjini hapa.

SAM_0369

Baadhi ya wananchi,madiwani na wakulima wa zao la tumbaku wa tarafa ya Itigi waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni.

SAM_0374

Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni akiwemo Diwani wa kata ya Rungwa, Bwana Charles Machapaa wakiwa mkutanoni.(Picha zote na Jumbe...

 

5 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE



***************************
NA MWAMVUA MWINYI 
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe. 
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali. 
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Haya ndiyo mahitaji muhimu ya biashara

Biashara inayokua ina viashiria mbalimbali vinavyoibainisha na kuitofautisha na biashara nyingine kama vile kuongezeka kwa mtaji wa biashara, kuongezeka kwa faida, kuongezeka kwa wafanyakazi, kuongezeka kwa mauzo, utengenezaji wa bidhaa mpya au utoaji wa huduma wa bidhaa mpya na nafasi yake katika soko.

 

11 years ago

Michuzi

MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU

1Arafa Mohammed Mke wa Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete(kushoto) akimkabidhi zawadi ya Vyombo vya ndani na Tende mzee Said Khamis Mnyika wa kijiji cha Changarikwa kata ya Mbwewe kama zawadi ya mbunge huyo katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan kwa familia zenye mahitaji muhimu kutokana na kiushi katika mazingira magumu , ambapo vifaa vya ndani pamoja na Tende zitatolewa kwa familia zipatazo 600 katika kata zote za jimbo hilo, huu ni mwendelezo wa shughuli za mbunge huyo katika...

 

9 years ago

StarTV

Upatikanaji wa walimu wa ufundi stadi bado changamoto

 

Ukosefu wa ajira ya moja kwa moja kutoka Serikalini kwa walimu wenye taaluma ya ufundi stadi, imeelezwa bado ni changamoto kubwa inayowakabili walimu hao, hatua inayosababisha baadhi ya vyuo vya Ufundi stadi nchini, kuajiri walimu wasio na sifa zinazojitosheleza katika kada hiyo.

Mpaka sasa Tanzania ina chuo kimoja pekee, kinachofundisha ualimu wa ufundi stadi, huku changamoto ya soko la ajira kwa wahitimu wanaomaliza katika chuo hicho bado halijatafutiwa utatuzi.

Tanzania iko katika...

 

5 years ago

Michuzi

TCRA CCC YATOA CHANGAMOTO ZA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM -PATANDI


Anayezungumza ni Katibu Mtendaji kutoka Baraza la Ushauri la Watumiaji wa huduma za mawasiliano Tanzania (TCRA CCC )Mary Shao Msuya,kulia kwake ni Mhandisi mwandamizi TCRA Jan Kaaya ,akifuatiwa na mjumbe wa Baraza
Mmoja wa wanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi na uoni hafifu kutoka Chuo cha Ualimu Patandi akiuliza swali kwa Baraza la Usahauri la watumiaji wa huduma za mawasiliano Tanzania 
Baadhi ya wanafunzi wa Chuo cha ualimu Patandi waliojikusanya kwaajili ya kupatiwa elimu juu ya matumizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani