Wakulima wa Tumbaku wakabiliwa na changamoto ya bei
Mkuu wa wilaya ya Manyoni,Bi Fatma Hassani Toufiq akifunga mkutano wa kwanza wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, uliofanyika hivi karibuni mjini hapa.
Baadhi ya wananchi,madiwani na wakulima wa zao la tumbaku wa tarafa ya Itigi waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni akiwemo Diwani wa kata ya Rungwa, Bwana Charles Machapaa wakiwa mkutanoni.(Picha zote na Jumbe...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Kigamboni wakabiliwa changamoto ya usafiri
WAKAZI wa Kigamboni na vitongoji vyake jijini Dar es Salaam, wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwenda katikati ya jiji kutokana na kivuko cha MV Kigamboni kupelekwa nchini Kenya kwa matengenezo....
10 years ago
Habarileo23 Aug
Stamigold wakabiliwa na changamoto za maji
MGODI wa dhahabu wa Stamigold Biharamulo unakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji kutokana na kutegemea vyanzo viwili vya mto Muhama na Isobizi.
9 years ago
StarTV09 Nov
Wazee Tanzania wakabiliwa na changamoto za upatikanaji wa mahitaji muhimu.
Nchi ya Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya 91 kati ya nchi 96 Duniani kwa Wazee kuwa kuishi katika hali hatarishi kwa kukosa mahitaji muhimu ikiwemo afya, elimu, chakula na malazi.
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la PADI Is-haka Msigwa ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma katika kutafuta njia ya kuwakwamua wazee ili waondokane na changamoto hiyo.
Mkurugenzi wa shirika la PADI linalohudumia wazee Nchini Tanzania Is-haka Msigwa amesema Tanzania ina wazee...
5 years ago
Michuzi11 Jun
WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0035.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200610-WA0036.jpg)
***************************
NA MWAMVUA MWINYI
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe.
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali.
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Wakulima kuboresha zao la tumbaku
WAKULIMA wa zao la tumbaku nchini, wameahidi kuongeza juhudi za kulifanya liwe bora zaidi ikiwa ni pamoja na kulitunza, kulichambua na kuondoa uchafu kabla ya kuliuza, ili lifikie viwango vya...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Mvua yaathiri wakulima wa tumbaku Kahama
MVUA zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimesababisha baadhi ya wakulima wa tumbaku kukosa sehemu ya kuchomea tumbaku baada ya mabani 100 kuanguka katika Kata ya Ulowa, wilayani Kahama, Shinyanga. Akizungumza...
9 years ago
StarTV07 Sep
Lowassa azitaka Kampuni za tumbaku kulipa wakulima
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA inayoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amezitaka kampuni za ununuzi wa tumbaku kuwalipa wakulima fedha wanazodai haraka iwezekanavyo ili waweze kuzitumia kuendesha maisha yao.
Amesema iwapo ataingia Ikulu wakati wakulima hao hawajalipwa fedha zao, kampuni hizo zitalazimika kuwalipa maradufu ili kuhakikisha kila mkulima na mtanzania ananufaika na alicho kigaramikia hivyo kuomba kupewa ridha ya...
9 years ago
StarTV19 Dec
Uendeshaji Kilimo Cha Tumbaku Wakulima walalamikia makato ya ushuru
Wakulima wa zao la tumbaku nchini, wamelalamikia serikali juu ya makato makubwa ya ushuru wanaokwata katika zao hilo, lakini mwisho wa siku hakuna fedha zinazorudishwa katika kuwasaidia wakulima hao hatua inayowafanya kuendesha kilimo hicho kwa shida.
Wakulima hao wamesema bado kuna matatizo mengi yanayowakabili na serikali haijaamua kuyafanyia kazi, ikiwemo suala la makampuni yanayonunua zao hilo, kuwakata kilo za tumbaku, ambazo huwa tofauti na wanazokubaliana kununua.
Zao la tumbaku...
9 years ago
Michuzi06 Jan
Waziri wa kilimo atua mkoani Iringa, akutana na wakulima wa Tumbaku
![mwi5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mwi5.jpg)
![mwi3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mwi3.jpg)