Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE



***************************
NA MWAMVUA MWINYI 
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe. 
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali. 
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kigamboni wakabiliwa changamoto ya usafiri

WAKAZI wa Kigamboni na vitongoji vyake jijini Dar es Salaam, wanakabiliwa na changamoto ya usafiri kwenda katikati ya jiji kutokana na kivuko cha MV Kigamboni kupelekwa nchini Kenya kwa matengenezo....

 

10 years ago

Habarileo

Stamigold wakabiliwa na changamoto za maji

MGODI wa dhahabu wa Stamigold Biharamulo unakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji kutokana na kutegemea vyanzo viwili vya mto Muhama na Isobizi.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wakulima wa Tumbaku wakabiliwa na changamoto ya bei

SAM_0435

Mkuu wa wilaya ya Manyoni,Bi Fatma Hassani Toufiq akifunga mkutano wa kwanza wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, uliofanyika hivi karibuni mjini hapa.

SAM_0369

Baadhi ya wananchi,madiwani na wakulima wa zao la tumbaku wa tarafa ya Itigi waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni.

SAM_0374

Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni akiwemo Diwani wa kata ya Rungwa, Bwana Charles Machapaa wakiwa mkutanoni.(Picha zote na Jumbe...

 

9 years ago

StarTV

Wazee Tanzania wakabiliwa na changamoto za upatikanaji wa mahitaji muhimu.

Nchi ya Tanzania inatajwa kuwa ni nchi ya 91 kati ya nchi 96 Duniani kwa Wazee kuwa kuishi katika hali hatarishi kwa kukosa mahitaji muhimu ikiwemo afya, elimu, chakula na malazi.

Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la PADI Is-haka Msigwa ameyasema hayo wakati akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Ruvuma katika kutafuta njia ya kuwakwamua wazee ili waondokane na changamoto hiyo.

Mkurugenzi wa shirika la PADI linalohudumia wazee Nchini Tanzania Is-haka Msigwa amesema Tanzania ina wazee...

 

11 years ago

Mwananchi

Kevin Hart: Mwanzo ulikuwa mgumu kwangu

Kwa hakika usemi wa mwanzo mgumu unaweza kuwa sehemu ya maisha ambayo wamepitia watu wengi ambao wanaonekana kufanikiwa hivi sasa.

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRI UNAOTUMIKA KUSAFIRISHA ABIRIA MKOANI GEITA ENEO LA BUSERESERE NI HATARISHI

 Abiria wakiwa wamekusanywa kwenye buti eneo la kubebea mizigo huku wakiwa sambaba na watoto wadogo. Mizigo na Watoto wakiwa wamekusanywa pamoja na mizigo nyuma ya Gari hiyoWakazi wa Mkoa wa Geita maeneo ya buseresere na katoro wapo katika hatari kubwa ya maisha yao kutokana na usafiri wanaoutumia kutoka eneo moja kwenda jingine.Mwakilishi wa kikundi cha usalama barabarani Fungo Agustus ametutumia Tukio hili ambalo ni hatari kwa abiria mkoani Geita.Gari ndogo aina ya Pro Box zimeingia kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto za wajasiriamali -3

Wiki iliyopita nilieleza namna mitaji ilivyo changamoto kwa wajasiriamali wadogo na baadhi ya wajasiriamali wa kati ikiwa ni mfululizo wa makala za changamoto zinazowakabili katika shughuli zao za kila siku kwa lengo la kuona tulipo na tunapotakiwa kuwa kwa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa jumla.

 

9 years ago

BBCSwahili

Usafiri wa magari changamoto Nigeria

Wiki hii BBC itaangalia hali ya barabara barani Afrika na miundombinu duni.

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto zinazowakabili wajasiriamali-4

Wiki iliyopita nilizungumzia miundombinu ya kufanyia biashara kama changamoto inayowakabili wajasirimali wadogo na wa kati katika shughuli zao za kila siku.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani