Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Changamoto zinazowakabili wajasiriamali-4

Wiki iliyopita nilizungumzia miundombinu ya kufanyia biashara kama changamoto inayowakabili wajasirimali wadogo na wa kati katika shughuli zao za kila siku.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI WATANZANIA WENYE UALIBINO ZISIWE CHANZO CHA KUJINUFAISHA

balozi_CLIPCHAMP_keep from Luke Joe on Vimeo.
Na Mwandishi Maalum, New York

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Uwakilishi wake wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, umekemea mwenendo na tabia zinazofanywa na baadhi ya Asasi zisizo za kiserikali za kupotosha ukweli kuhusu changamoto zinazowakabili watu wenye ualibino lakini kubwa zaidi kutaka kujinufaisha kupitia matatizo yao.

Aidha Tanzania, pamoja na kukiri kwamba kuna tatizo la watu wenye ualibino la kupoteza maisha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais akutana na WTF kuzungumzia changamoto zinazowakabili wanawake na watoto nchini

1A

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Tanzania (WFT) wakati viongozi hao walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Nov 24, 2015 kwa mazungumzo. (Picha na OMR).

1B

1C

2

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea baadhi ya Vipeperushi na Vitabu vya Mtandano wa Wanawake Tanzania (WFT) kutoka kwa mwenyekiti wa mtandao huo, Prof.Ruth Meena, baada ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Waziri Ummy atembelea MSD, aahidi kuwa balozi wao na kuwatatulia changamoto zinazowakabili ikiwepo deni wanaloidai serikali

ummy-msd 175

Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitembelea moja ya ghala la kuhifadhia dawa iliyopo makao makuu ya MSD,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laureane Bwanakunu na watatu kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya MSD Prof.Idris Mtulia.

Waziri wa Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD) na kuahidi kuwa balozi wa kuhakikisha deni la serikali linalipwa ili kuiwezesha MSD kutekeleza majukumu...

 

9 years ago

Michuzi

WAZIRI WA AFYA, MHE. UMMY MWALIMU ATEMBELEA MSD, AAHIDI KUWA BALOZI WAO NA KUWATATULIA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI IKIWEPO DENI WANALOIDAI SERIKALI

ummy-msd 175Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitembelea moja ya ghala la kuhifadhia dawa iliyopo makao makuu ya MSD,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laureane Bwanakunu na watatu kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya MSD Prof.Idris Mtulia.Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto za wajasiriamali -3

Wiki iliyopita nilieleza namna mitaji ilivyo changamoto kwa wajasiriamali wadogo na baadhi ya wajasiriamali wa kati ikiwa ni mfululizo wa makala za changamoto zinazowakabili katika shughuli zao za kila siku kwa lengo la kuona tulipo na tunapotakiwa kuwa kwa maendeleo ya mtu binafsi na taifa kwa jumla.

 

11 years ago

Mwananchi

Vifungashio changamoto kwa wajasiriamali

>Wazalishaji wadogo nchini wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa vifungashio kwa ajili ya bidhaa wanazozalisha hali inayochangia kuzifanya zishindwe kumudu ushindani na bidhaa nyingine kutoka nje ya nchi hususani katika bei.

 

10 years ago

Mwananchi

Hizi ni changamoto za wajasiriamali nchini - 5

Wiki iliyopita nilizungumzia sheria na taratibu za kufanya biashara kama moja ya changamoto wanazokabiliana nazo wajasiriamali wadogo na wa kati nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Changamoto kuu za wajasiriamali na namna ya kuzishinda-2

Wiki iliyopita nilielezea juu ya changamoto zinazowasibu wajasiriamali wadogo na baadhi ya wajasiriamali wa kati kwa kuangazia changamoto inayotokana na udhaifu wa mjasiriamali mwenyewe.

 

5 years ago

Michuzi

WAJASIRIAMALI MWANZO MGUMU WAKABILIWA NA CHANGAMOTO YA USAFIRI KUSAFIRISHA MAWE



***************************
NA MWAMVUA MWINYI 
WAJASIRIAMALI wa Kikundi cha Mwanzo Mgumu, kilichopo Kijiji cha Kwedikwazu Kata ya Kabuku wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga, wanahitaji usafiri utaowarahisishia kazi zao za ubebaji wa mawe. 
Wakizungumza na Waandishi wa habari katika eneo wanalofanya shughuli zao za kubangua mawe, Wajasiriamali hao walisema kuwa wananufaika na machimbo ya mawe yanayotumika kutengenea Marumaru na Jipsam katika majengo mbalimbali. 
Katibu wa kikundi hicho Saumu Kisaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani