Waziri Ummy atembelea MSD, aahidi kuwa balozi wao na kuwatatulia changamoto zinazowakabili ikiwepo deni wanaloidai serikali
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitembelea moja ya ghala la kuhifadhia dawa iliyopo makao makuu ya MSD,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laureane Bwanakunu na watatu kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya MSD Prof.Idris Mtulia.
Waziri wa Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD) na kuahidi kuwa balozi wa kuhakikisha deni la serikali linalipwa ili kuiwezesha MSD kutekeleza majukumu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi30 Dec
WAZIRI WA AFYA, MHE. UMMY MWALIMU ATEMBELEA MSD, AAHIDI KUWA BALOZI WAO NA KUWATATULIA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI IKIWEPO DENI WANALOIDAI SERIKALI
![ummy-msd 175](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/pax8_8KHQJzxgTBjDpXscauDeRYeHL6tBGGHUt7IFrql0AX-3_PaxIWxs2Xtfesi71OZXS7DlNQ7PCAeKTYta9QTciLQ42v4dCChP8DMte_IV_uLvFo=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/ummy-msd-175.jpg)
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Serikali yapunguza deni MSD
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Serikali iharakishe kulipa deni la MSD
MOJA ya taarifa iliyopo katika gazeti hili ni ile ya mbunge wa Kisesa, Luaga Mpina (CCM), kuutaka mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, uahirishwe ili fedha zitakazookolewa, zikalipie deni la...
10 years ago
Habarileo11 Nov
Serikali yasikia kilio deni kubwa la MSD
HATIMAYE kilio cha wagonjwa kupoteza maisha na kuteseka, kutokana na uhaba mkubwa wa dawa katika hospitali nyingi nchini, kunakotokana na Bohari ya Taifa ya Dawa (MSD) kuishiwa dawa, kwa kutolipwa zaidi ya Sh bilioni 102 na Serikali, kimesikika.
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Lipumba aonya serikali kuhusu IPTL, deni MSD
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka serikali kuacha mzaha wa kuchezea maisha ya watanzania katika upatikanaji wa mahitaji muhimu, ikiwa ni pamoja na dawa za tiba mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa...
9 years ago
Bongo506 Nov
Picha: Dkt John Magufuli aapishwa kuwa Rais wa Tanzania, aahidi kuwatumikia wananchi ‘nina deni kubwa’
![ma35](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/ma35-300x194.jpg)
Dokta John Pombe Magufuli, Alhamis hii ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla iliyohudhuriwa na wananchi pamoja na viongozi wa nchi mbalimbali barani Afrika.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Pombe Magufuli akiapishwa Alhamis hii
Ikiwa ni siku iliyotangazwa na Rais aliyeondoka madarakani Jakaya Kikwete kuwa ya mapumziko, wananchi wengi walishuhudia kuapishwa kwa Magufuli kupitia runinga zao. Wengine walisikiliza matangazo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s72-c/734.jpg)
BALOZI SEIF ALI IDDI AAHIDI KUTAFUTA MBINU ZA KUTATUA CHANGAMOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-NWU7Bfm5TLQ/Vh6zUpqEjtI/AAAAAAAH_8E/yLQvjwlBnmw/s640/734.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aw5cVXbexfA/Vh6zVjhS6bI/AAAAAAAH_8U/FDpYSu-pbjs/s640/735.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_RGP_fLW7tc/Vh6zUyekx9I/AAAAAAAH_8I/GV5dQ4XDi4I/s640/736.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Changamoto zinazowakabili wajasiriamali-4
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Waziri Ummy Mwalimu atembelea kambi ya wagonjwa wa kipindupindu Nyankumbu, Geita ahimiza usafi
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akivaa vifaa maalum vya kujikinga na kipindupindu kabla ya kuingia kwenye kambi hiyo, kulia ni Mganga mfawidhi wa Kituo hicho Josephat Msafiri.(Picha Zote na Catherine Sungura WAMJW-GEITA).
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea katika kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu Nyankumbu, Wilayani Geita mapema Januari 4 huku akiitaka...