Serikali yapunguza deni MSD
Serikali imeendelea kulipa malimbikizo ya deni la Sh40 bilioni inalodaiwa na Bohari Kuu ya Dawa (MSD) kwa kutoa Sh10 bilioni hivi karibuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Apr
Serikali yapunguza deni kwa wakulima
SERIKALI imeendelea na kasi ya kulipa deni ililokuwa inadaiwa na wakulima sehemu mbalimbali nchini ambapo jana Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga imewalipa wakulima wa mikoa ya Rukwa na Katavi zaidi ya Sh bilioni tisa kati ya Sh bilioni 22 walizokuwa wakiwadai baada ya kuwauzia mahindi msimu wa ununuzi uliopita.
10 years ago
Habarileo26 May
Serikali yapunguza deni lake Magereza
JESHI la Magereza nchini limeipongeza Serikali ya Awamu ya Nne kwa hatua ya kuanza kupunguza deni lake la kiasi cha Sh bilioni tano linalotokana na huduma ya kutoa chakula cha wafungwa Magerezani.
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Serikali iharakishe kulipa deni la MSD
MOJA ya taarifa iliyopo katika gazeti hili ni ile ya mbunge wa Kisesa, Luaga Mpina (CCM), kuutaka mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, uahirishwe ili fedha zitakazookolewa, zikalipie deni la...
10 years ago
Habarileo11 Nov
Serikali yasikia kilio deni kubwa la MSD
HATIMAYE kilio cha wagonjwa kupoteza maisha na kuteseka, kutokana na uhaba mkubwa wa dawa katika hospitali nyingi nchini, kunakotokana na Bohari ya Taifa ya Dawa (MSD) kuishiwa dawa, kwa kutolipwa zaidi ya Sh bilioni 102 na Serikali, kimesikika.
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Lipumba aonya serikali kuhusu IPTL, deni MSD
CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeitaka serikali kuacha mzaha wa kuchezea maisha ya watanzania katika upatikanaji wa mahitaji muhimu, ikiwa ni pamoja na dawa za tiba mbalimbali. Akizungumza na Waandishi wa...
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Waziri Ummy atembelea MSD, aahidi kuwa balozi wao na kuwatatulia changamoto zinazowakabili ikiwepo deni wanaloidai serikali
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitembelea moja ya ghala la kuhifadhia dawa iliyopo makao makuu ya MSD,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa MSD Laureane Bwanakunu na watatu kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya MSD Prof.Idris Mtulia.
Waziri wa Afya , Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu ametembelea Makao Makuu ya Bohari ya Dawa (MSD) na kuahidi kuwa balozi wa kuhakikisha deni la serikali linalipwa ili kuiwezesha MSD kutekeleza majukumu...
9 years ago
Michuzi30 Dec
WAZIRI WA AFYA, MHE. UMMY MWALIMU ATEMBELEA MSD, AAHIDI KUWA BALOZI WAO NA KUWATATULIA CHANGAMOTO ZINAZOWAKABILI IKIWEPO DENI WANALOIDAI SERIKALI
![ummy-msd 175](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/pax8_8KHQJzxgTBjDpXscauDeRYeHL6tBGGHUt7IFrql0AX-3_PaxIWxs2Xtfesi71OZXS7DlNQ7PCAeKTYta9QTciLQ42v4dCChP8DMte_IV_uLvFo=s0-d-e1-ft#http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/12/ummy-msd-175.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Nov
SIKIKA yalia na deni la MSD
Mkurugenzi Mtendaji wa Sikika, Irenei Kiria, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam.
Na Mwandishi wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Sikika, Irenei Kiria, amesema taasisi hiyo imesikitishwa na taarifa kuwa vituo vya kutolea huduma ya afya nchini vinakabiliwa na uhaba wa dawa na vifaatiba.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Kiria, alisema upungufu huo unasemekana umekuwa ukiwaathiri zaidi wananchi wasiokuwa na bima za afya.
Alisema uhaba huo wa...
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Deni la MSD lawakera wabunge