Serikali yapunguza deni lake Magereza
JESHI la Magereza nchini limeipongeza Serikali ya Awamu ya Nne kwa hatua ya kuanza kupunguza deni lake la kiasi cha Sh bilioni tano linalotokana na huduma ya kutoa chakula cha wafungwa Magerezani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi15 Sep
Serikali yapunguza deni MSD
10 years ago
Habarileo02 Apr
Serikali yapunguza deni kwa wakulima
SERIKALI imeendelea na kasi ya kulipa deni ililokuwa inadaiwa na wakulima sehemu mbalimbali nchini ambapo jana Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga imewalipa wakulima wa mikoa ya Rukwa na Katavi zaidi ya Sh bilioni tisa kati ya Sh bilioni 22 walizokuwa wakiwadai baada ya kuwauzia mahindi msimu wa ununuzi uliopita.
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Deni la Sh1.13 bilioni kuziponza Polisi, Magereza
10 years ago
Mtanzania12 Jun
EFD yapunguza mapato ya serikali
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amesema mwitikio mdogo wa wafanyabiashara katika utumiaji wa mashine za kielektroniki (EFD) ni moja ya sababu za kutofikia lengo la makusanyo ya kodi kwa mwaka wa fedha unaoisha.
Akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 mjini Dodoma jana, Waziri Saada alisema hadi Aprili mwaka huu mapato ya kodi yalikuwa yamefikia Sh trilioni 8.1 sawa na asilimia 72 ya makadirio ya mwaka ya Sh trilioni 11.3.
Waziri Saada alisema sababu nyingine ni pamoja na kushuka kwa...
5 years ago
Michuzi
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA

Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.

9 years ago
Mtanzania07 Jan
Serikali yabeba deni la Bodi ya Utalii
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii, imejitwisha mzigo wa deni la Sh bilioni 4 ambalo Bodi ya Utalii inadaiwa.
Deni hilo ni ambalo linahusu matangazo yanayoanzia mwaka 2013/ 2014 ambalo lilikuwa likihusu matangazo yote ya utalii yaliyokuwa yakifanyika ndani na nje ya nchi katika viwanja mbalimbali vya soka vya Ulaya.
Akizungumza na viongozi wa bodi hiyo, jana jijini Dar es Salaam, Waziri wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghebe alisema wizara...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Serikali iharakishe kulipa deni la MSD
MOJA ya taarifa iliyopo katika gazeti hili ni ile ya mbunge wa Kisesa, Luaga Mpina (CCM), kuutaka mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma, uahirishwe ili fedha zitakazookolewa, zikalipie deni la...
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Bunge laridhia Serikali kufuta deni