Serikali yapunguza deni kwa wakulima
SERIKALI imeendelea na kasi ya kulipa deni ililokuwa inadaiwa na wakulima sehemu mbalimbali nchini ambapo jana Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga imewalipa wakulima wa mikoa ya Rukwa na Katavi zaidi ya Sh bilioni tisa kati ya Sh bilioni 22 walizokuwa wakiwadai baada ya kuwauzia mahindi msimu wa ununuzi uliopita.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Serikali yapunguza deni MSD
10 years ago
Habarileo26 May
Serikali yapunguza deni lake Magereza
JESHI la Magereza nchini limeipongeza Serikali ya Awamu ya Nne kwa hatua ya kuanza kupunguza deni lake la kiasi cha Sh bilioni tano linalotokana na huduma ya kutoa chakula cha wafungwa Magerezani.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_KXlwyJA_Bo/XowUIFoa_mI/AAAAAAALmVM/haPHOMGEJu4Ze__XVxd5tQaZ0SsvX1thQCLcBGAsYHQ/s72-c/734344c8-1d07-43a1-afdd-684135d28df9.jpg)
CAG ABAINI KUWEPO KWA ONGEZEKO LA DENI LA SERIKALI KWA BOHARI KUU YA DAWA
Charles James, Michuzi TV
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Nchini (CAG) kwa mwaka ulioisha Juni 2019 imebaini kuwepo kuongezeka kwa deni la serikali kwa bohari kuu ya dawa (MSD) kwa kiasi cha Sh bilioni 16.18 kutoka Sh bilioni 37.48 za mwaka uliopita.
Ukaguzi huo wa CAG una mashaka kuwa ukwasi wa MSD unazidi kushuka hivyo kuathiri utekelezaji wa mipango mbalimbali ikiwemo usambazaji wa dawa na vifaa tiba kwa jamii pamoja na utekelezaji wa mipango yake...
10 years ago
Mtanzania12 Jun
EFD yapunguza mapato ya serikali
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amesema mwitikio mdogo wa wafanyabiashara katika utumiaji wa mashine za kielektroniki (EFD) ni moja ya sababu za kutofikia lengo la makusanyo ya kodi kwa mwaka wa fedha unaoisha.
Akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 mjini Dodoma jana, Waziri Saada alisema hadi Aprili mwaka huu mapato ya kodi yalikuwa yamefikia Sh trilioni 8.1 sawa na asilimia 72 ya makadirio ya mwaka ya Sh trilioni 11.3.
Waziri Saada alisema sababu nyingine ni pamoja na kushuka kwa...
10 years ago
Mwananchi04 May
Serikali yarudisha neema kwa wakulima Bumbuli
10 years ago
StarTV14 Jan
Serikali kutoa elimu kwa wakulima wadogo wa Pamba.
Na Gloria Matola,
Pwani Bagamoyo.
Serikali imejipanga kuendelea kuwaelimisha wakulima wadogo wadogo wa zao la pamba waliopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ili wafikie hatua ya kulifanya zao hilo kuwa la kibiashara zaidi ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na hali ya umasikini uliokithiri kwenye ukanda wa Mashariki.
Hayo yameelezwa kwenye ziara ya Bodi ya Pamba kwa kushirikiana na Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Pwani CORECU na TACOGA lengo likiwa ni kuwahamasisha wakulima wa zao hilo kurejea...
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Keissy aitaka Serikali kulipa riba kwa wakulima
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), ameitaka Serikali kuwalipa wakulima fedha zao pamoja na riba kutokana na kuwacheleweshea malipo yao kwa muda mrefu.
Akiuliza swali bungeni jana, Keissy alisema Serikali imekuwa ikilipa riba mbalimbali kutokana na kuchelewa kulipa madeni ya wazabuni na kutaka wakulima walioiuzia Serikali mahindi yao walipwe riba.
“Serikali inasema nini kuhusu kuwalipa wakulima hao fedha zao pamoja na riba kwa kuwa toka mwaka jana hadi sasa...
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Serikali imetumia zaidi ya Shilingi Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima
Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula Bw. Charles akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo Pichani) kuhusu mafanikio yaliyopatikana na wakala hao ikiwamo kutumia Zaidi ya Bilioni 111 kununua mazao kwa wakulima katika kipindi cha Mwaka 2013/2014. wakati wa Mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mipango na Uendeshaji wa wakala huo Bi. Anna Mapunda.
Baadhi ya waandishi wa Habari waliohudhuria Mkutano huo...