Keissy aitaka Serikali kulipa riba kwa wakulima
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), ameitaka Serikali kuwalipa wakulima fedha zao pamoja na riba kutokana na kuwacheleweshea malipo yao kwa muda mrefu.
Akiuliza swali bungeni jana, Keissy alisema Serikali imekuwa ikilipa riba mbalimbali kutokana na kuchelewa kulipa madeni ya wazabuni na kutaka wakulima walioiuzia Serikali mahindi yao walipwe riba.
“Serikali inasema nini kuhusu kuwalipa wakulima hao fedha zao pamoja na riba kwa kuwa toka mwaka jana hadi sasa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Serikali kulipa riba Sh5 bilioni deni la miezi sita
11 years ago
Habarileo15 Dec
Malkia wa Uholanzi aitaka Serikali kusaidia wakulima
MALKIA Maxima wa Uholanzi, ameitaka Serikali kuelekeza juhudi zaidi katika kusaidia wakulima na kuwatafutia masoko ya mazao wanayozalisha ili waweze kuinua hali zao za maisha.
11 years ago
Mwananchi25 Jun
Serikali kulipa madeni ya wakulima wa mahindi
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Waziri Mkuya aitaka NMB kupunguza riba
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, ameuomba uongozi wa Benki ya NMB kuangalia jinsi ya kuwainua watanzania kwa kupunguza viwango vya riba. Mkuya aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PIb0toGRQ1s/VnFNuLGDCsI/AAAAAAAIMwc/ZNomiwaLOjQ/s72-c/Al6cYflZYJ9obx_dogOCWAEpoATQQB29df51vPPVFSSq.jpg)
WAZIRI WA KILIMO ATOA SAA 48 KWA KAMPUNI YA SPARKWAY LTD KULIPA BILLION 3.4 KWA WAKULIMA WA KOROSHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-PIb0toGRQ1s/VnFNuLGDCsI/AAAAAAAIMwc/ZNomiwaLOjQ/s640/Al6cYflZYJ9obx_dogOCWAEpoATQQB29df51vPPVFSSq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MdXoMz1omWI/VnFNtwcE71I/AAAAAAAIMwY/MpW5-jCk5lQ/s640/Au1lNmCmGdhwxdLsESaIUqeluo1yl7SkocpwTgKJGMf9%2B%25282%2529.jpg)
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Mwigulu atoa saa 48 kwa kampuni ya Sparkway ltd kulipa wakulima
Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mh.Mwigulu Lameck Nchemba akiongea jambo.
Waziri wa Kilimo Uvuvi na Mifugo Mh.Mwigulu Lameck Nchemba atoa saa 48 kwa kampuni ya Sparkway ltd kulipa BIllion 3.4 kwa wakulima wa korosho Mkoa wa pwani.
Kufuatia agizo hio,Wakulima waliouza korosho hiyo wataanza kulipwa jumatatu ya tar.21.12.2015.
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Keissy adai anaamini katika Serikali moja
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s72-c/7.jpg)
KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA WAFANYABIASHARA,MADEREVA WA MAGARI NA BODABODA
![](http://3.bp.blogspot.com/-anBJxm5odYo/VXx2NYDnRjI/AAAAAAAC6iQ/JxvMUDk-4Lk/s640/7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sbI-B1iVfYE/VXx18I7VJZI/AAAAAAAC6gI/hvmtw1Akl_4/s640/14.jpg)
11 years ago
Habarileo08 Jun
Watumia noti bandia kulipa wakulima wa ufuta
WAFANYABIASHARA wilayani Nachingwea mkoani Lindi wanadaiwa kutumia fedha bandia kununulia zao la ufuta.