Keissy adai anaamini katika Serikali moja
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na Mbunge wa Nkasi, Ali Keissy amesema haamini masuala ya serikali mbili wala tatu, anachokiamini ni utawala wa serikali moja.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Oct
Cassim adai anaamini biashara ya album itarejea tena
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Keissy aitaka Serikali kulipa riba kwa wakulima
Na Debora Sanja, Dodoma
MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), ameitaka Serikali kuwalipa wakulima fedha zao pamoja na riba kutokana na kuwacheleweshea malipo yao kwa muda mrefu.
Akiuliza swali bungeni jana, Keissy alisema Serikali imekuwa ikilipa riba mbalimbali kutokana na kuchelewa kulipa madeni ya wazabuni na kutaka wakulima walioiuzia Serikali mahindi yao walipwe riba.
“Serikali inasema nini kuhusu kuwalipa wakulima hao fedha zao pamoja na riba kwa kuwa toka mwaka jana hadi sasa...
11 years ago
Michuzi12 Jun
Zaidi ya Taasisi 30 za Serikali kushiriki katika maonesho ya wiki moja ya utumishi wa Umma
![](https://3.bp.blogspot.com/-38p8CGmQ05U/U5h8LFEw_dI/AAAAAAACz4Y/h65ve9m7L2E/s1600/N.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-YugxqwLOOtw/U5h8NHPXI_I/AAAAAAACz4g/OgmErnkwWlI/s1600/Pix-02.jpg)
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline.
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Kafulila adai Serikali inataka kumuua
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Mbunge adai watumishi wa serikali wanadhoofisha maendeleo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Omar-Nundu--October5-2014.jpg)
Alisema halmashauri zimeshindwa kutimiza ahadi ambazo serikali imezitoa kwa wananchi kutokana na watumishi kukosa uaminifu.
Nundu ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Uchukuzi, aliyasema hayo jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano mjini hapa ikiwa ni sehemu ya ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha...
9 years ago
Bongo501 Sep
Kala Jeremiah adai serikali iliyopita haijawanufaisha wasanii
10 years ago
Vijimambo16 May
'Bwege' adai wananchi ndio wameochoka kuibeba Serikali ya CCM
Alisema wapo wabunge wanaoitetea serikali, kwa kuibeba, lakini wapo wabunge wanaofanya kazi zao za kuikosoa.
Akichangia hotuba ya mwelekeo wa kazi za serikali, makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2015/16 iliyowasilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Maige adai kuwa na Serikali tatu nchi itaingia maajabu ya dunia