Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cassim adai anaamini biashara ya album itarejea tena

Cassim Mganga amedai kuwa pamoja na biashara ya album kufa, dalili zinaonesha kuwa mbeleni itarejea tena. Cassim ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa wimbo mmoja ukiusimamia vizuri unaweza ukakulipa zaidi ya album. “Kama mwanamuziki lazima uwe na album lakini sasa hivi biashara ya album imekuwa ngumu sana. Watu wanapata pesa za kuendesha maisha kupitia shows. Kwahiyo […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Keissy adai anaamini katika Serikali moja

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na Mbunge wa Nkasi, Ali Keissy amesema haamini masuala ya serikali mbili wala tatu, anachokiamini ni utawala wa serikali moja.

 

9 years ago

Bongo5

Cassim adai kuzipa exclusive TV za nje kabla ya nyumbani si kitu kizuri

Mwenyekiti wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) Dr. Fatma Mrisho

Hitmaker wa Subira, Cassim Mganga amesema haoni kama ni ufahari kupeleka video yake ikaoneshwe kama exclusive kwenye vituo vya runinga vya nje na kuwaacha watanzania wengi wakisubiria.

Kassim Mganga

Akizungumza na Bongo5, Cassim amesema haoni uzito wa suala hilo kama ambavyo wengine wanavyolichukulia.

“Mimi na video yangu ya Subira nilisema nisianzie huko, kwanini mtu upate exclusive huko ndio uonekane kwamba wewe unakwenda kimataifa?” amehoji.

“Hata hapa nyumbani ni kimataifa vile vile wanaweza...

 

10 years ago

Bongo5

Cassim adai Babu Tale hakuwa ‘kiongozi’ wakati yupo Tip Top

12063201_825333404252455_334874297_nCassim Mganga amezungumza kwa kwanza sababu ya kuondoka Tip Top Connection ambapo amemtuhumu Babu Tale kuwa hakuwa kiongozi mzuri kwake. Cassim alikiambia kipindi cha Mkasi kuwa hakufurahishwa na maisha aliyoishi Tip Tip ndio maana aliamua kuondoka. “Toka nimeondoka Tip Top Tale hajawahi kuniletea deal hata moja,” alisema. “Kwenye familia yoyote hakukosi migogoro, mzazi usipokuwa strong […]

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba adai album yake Cinderella iliuza kopi milioni 2

12120276_163762000643678_1906855536_n

Hitmaker wa Chekecha Cheketua, Alikiba amesema album yake ya kwanza, Cinderella ilivunja rekodi na kuuza ‘double platinum’ (nakala milioni mbili).

12120276_163762000643678_1906855536_n

Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, Alikiba alisema mpaka leo hajasikia kama rekodi hiyo imevunjwa.

“Kiukweli album yangu ya kwanza ya Cinderella ndio ilivunja rekodi na sijasikia mpaka leo kama rekodi hiyo imevunjwa,” alisema. “Sijui (nakala) ni milioni mbili vile, kitu kama hicho, kila album ilikuwa inauzwa mia mbili,” alisema...

 

10 years ago

Bongo5

Kwanini ni muhimu wasanii wa Tanzania waanze kutoa album tena!

Ninafahamu na ni ukweli usiopingika kuwa album haziuzi lakini hiyo si sababu tosha ya wasanii kuacha kabisa kutoa album. Tunakosa uhondo. Wakati ambapo tunaendelea kuumizwa kichwa kuhusu namna mpya ya kusambaza album za wasanii, nadhani wasanii hawapaswi kabisa kukaa na ngoma zao maghetoni. Kuna faida gani ya kukaa na nyimbo ndani ambazo baadaye unaishia kuzichukia […]

 

10 years ago

Bongo5

Wizkid aahirisha tena kuachia album mpya mpaka mwakani (2016)!

Mashabiki wa Wizkid waliokuwa wakisubiri kwa hamu album mpya ya staa huyo ambayo ilipangwa kutoka Septemba, watalazimika kuvuta tena subira hadi mwakani 2016. Wizkid ametangaza kuahirisha kutoa album yake ya 3 mwezi huu (Septemba), baada ya kuhudhuria sherehe ya siku ya kuzaliwa ya 2Face Idibia aliyefikisha miaka 40. Amesema amegundua bado ana kazi kubwa anayotakiwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Babu Tale adai anatamani kufanya kazi tena na Z Anto

Meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale amesema miongoni mwa wasanii wake wa zamani anaotamani kufanya nao kazi tena, ni Z Anto. Tale amesema Z Anto ni msanii mwenye heshima na kipaji. “Natamani nifanye naye tena kazi Z Anto,” Tale alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio. “Z Anto ana heshima, anaweza kazi. […]

 

10 years ago

Bongo5

Ray adai hakuna tena ushindani kwenye filamu za Bongo

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ amesema baada ya kufariki Steven Kanumba tasnia ya filamu imekosa ushindani wa ndani na nje. Akizungumza kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Ray alisema kazi yake na maisha yake vimetikisika kutokana na kukosa mshindani kama alivyokuwa Kanumba. “Kwa upande wangu vitu vingi vimetikisika kwa sababu […]

 

10 years ago

GPL

SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI

Na Mwandishi Wetu, Moro
SKENDO mpya imeikumba Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kufuatia mwanamke mmoja, Rukia Fikiri (pichani) kudai kujifungua mtoto wa kiume kisha baadaye kukabidhiwa mtoto wa kike akiwa amefariki dunia, Uwazi linatiririka.Tukio hilo la kushangaza lilijiri Machi 25, mwaka huu katika wodi ya wazazi ya hospitali hiyo. Rukia Fikiri(kulia) akiwa na ndugu zake wakiwa wamebeba maiti ya mtoto wanaodai...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani