Kwanini ni muhimu wasanii wa Tanzania waanze kutoa album tena!
Ninafahamu na ni ukweli usiopingika kuwa album haziuzi lakini hiyo si sababu tosha ya wasanii kuacha kabisa kutoa album. Tunakosa uhondo. Wakati ambapo tunaendelea kuumizwa kichwa kuhusu namna mpya ya kusambaza album za wasanii, nadhani wasanii hawapaswi kabisa kukaa na ngoma zao maghetoni. Kuna faida gani ya kukaa na nyimbo ndani ambazo baadaye unaishia kuzichukia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Nov
Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya
![bien](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bien-300x194.jpg)
Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.
Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.
Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...
9 years ago
Bongo527 Nov
Babu Tale awashauri wasanii kutoa album na kuacha kuhofia kuibiwa
![babu-tale](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/08/babu-tale-200x133.jpg)
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amewataka wasanii wa Tanzania kuacha kuogopa kutoa album kwa madai ya kuogopa kuibiwa.
Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Tale alisema zipo nchi ambazo zinaongoza kwa wizi wa kazi za wasanii lakini bado wasanii wao wanatoa album.
“Wizi upo dunia nzima,” alisema Tale. “Ukienda Nigeria kuanzia airport wanafanya piracy. Hata Marekani, nafikiri ndio nchi ambayo inatushinda sisi hata kwa mambo ya digital lakini still bado wanatoa album na...
10 years ago
Bongo513 May
Wasanii wa Tanzania kutotoa album ni uzembe, uoga na kutojiamini!
9 years ago
Bongo510 Nov
Kwanini wasanii wetu siku hizi wanawatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania? — Jacqueline Wolper
![wolper](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/wolper-300x194.jpg)
Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kushare na followers wake wa Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha, kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa hapa.
Hiki ndicho alichoandika Wolper;
“Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu kimoja …kuna madada zetu wengi hapa Tanzania na wakaka wengi wazuri nawakivaa au kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu…lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia hawa wanaofanya...
10 years ago
Bongo510 Mar
Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maadhimisho ya kuachiliwa kwa Nelson Mandela: Kwanini alikuwa mtu muhimu ?
9 years ago
Bongo527 Nov
Umewahi kujiuliza kwanini album za Adele, ‘19’, ‘21’ na ‘25’ zina majina ya namba? Ifahamu sababu
![Adele 25](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-25-300x194.jpg)
Adele Laurie Blue Adkins, anayefahamika zaidi kwa jina lake la kwanza ni muimbaji kutoka Uingereza ambaye ameshatoa album tatu mpaka sasa.
Kuna kitu kimoja ambacho binafsi nilijiuliza na kuamua kufuatilia, kuhusu majina yake ya album zake zote tatu kuwa namba. Album ya kwanza aliita ’19’, iliyofata inaitwa ’21’, na hii mpya ya mwaka huu inaitwa ’25’, hizi namba zina maana gani?
Jibu ni kwamba namba ambazo Adele amekuwa akizitumia kama majina ya album zake ni umri wake.
Wakati anaanza...
11 years ago
Bongo516 Jul
R.Kelly atangaza kutoa album ya muziki wa ‘House’
9 years ago
Bongo520 Aug
Christian Bella hana mpango wa kutoa album