Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini ni muhimu wasanii wa Tanzania waanze kutoa album tena!

Ninafahamu na ni ukweli usiopingika kuwa album haziuzi lakini hiyo si sababu tosha ya wasanii kuacha kabisa kutoa album. Tunakosa uhondo. Wakati ambapo tunaendelea kuumizwa kichwa kuhusu namna mpya ya kusambaza album za wasanii, nadhani wasanii hawapaswi kabisa kukaa na ngoma zao maghetoni. Kuna faida gani ya kukaa na nyimbo ndani ambazo baadaye unaishia kuzichukia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya

bien

Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.

bien

Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.

Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...

 

9 years ago

Bongo5

Babu Tale awashauri wasanii kutoa album na kuacha kuhofia kuibiwa

babu-tale

Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amewataka wasanii wa Tanzania kuacha kuogopa kutoa album kwa madai ya kuogopa kuibiwa.

Babu Tale akiwasili jijini Mwanza

Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Tale alisema zipo nchi ambazo zinaongoza kwa wizi wa kazi za wasanii lakini bado wasanii wao wanatoa album.

“Wizi upo dunia nzima,” alisema Tale. “Ukienda Nigeria kuanzia airport wanafanya piracy. Hata Marekani, nafikiri ndio nchi ambayo inatushinda sisi hata kwa mambo ya digital lakini still bado wanatoa album na...

 

10 years ago

Bongo5

Wasanii wa Tanzania kutotoa album ni uzembe, uoga na kutojiamini!

Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na wahindi enzi za kanda za redio cassette na urudufuaji usio halali wa kazi zao unaofanywa na wafanyabiashara, zinaweza kueleweka kiasi na kutupa sababu za kuwasamehe. Lakini imefika wakati sasa wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Kwanini wasanii wetu siku hizi wanawatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania? — Jacqueline Wolper

wolper

Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kushare na followers wake wa Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha, kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa hapa.

wolper

Hiki ndicho alichoandika Wolper;

“Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu kimoja …kuna madada zetu wengi hapa Tanzania na wakaka wengi wazuri nawakivaa au kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu…lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia hawa wanaofanya...

 

10 years ago

Bongo5

Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili

Wiki iliyopita ilifanyika tathmini ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) za mwaka jana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye msimu mpya wa tuzo hizo kwa mwaka huu 2015. Kwa kawaida Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) hualika wadau mbalimbali kuhudhuria tathmini ya tuzo za mwaka uliopita kwa lengo la kuwapa nafasi ya kutoa […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Maadhimisho ya kuachiliwa kwa Nelson Mandela: Kwanini alikuwa mtu muhimu ?

Leo ni siku ambayo Nelson Mandela anaadhimisha miaka 30 tangu alipoachiliwa kutoka gerezani wakati wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika kusini. NI siku inayotumika kumuenzi na kutambua mafanikio yake.

 

9 years ago

Bongo5

Umewahi kujiuliza kwanini album za Adele, ‘19’, ‘21’ na ‘25’ zina majina ya namba? Ifahamu sababu

Adele 25

Adele Laurie Blue Adkins, anayefahamika zaidi kwa jina lake la kwanza ni muimbaji kutoka Uingereza ambaye ameshatoa album tatu mpaka sasa.

Adele 25

Kuna kitu kimoja ambacho binafsi nilijiuliza na kuamua kufuatilia, kuhusu majina yake ya album zake zote tatu kuwa namba. Album ya kwanza aliita ’19’, iliyofata inaitwa ’21’, na hii mpya ya mwaka huu inaitwa ’25’, hizi namba zina maana gani?

Jibu ni kwamba namba ambazo Adele amekuwa akizitumia kama majina ya album zake ni umri wake.

Adele-19

Wakati anaanza...

 

11 years ago

Bongo5

R.Kelly atangaza kutoa album ya muziki wa ‘House’

Muimbaji wa R&B, Robert Kelly ametangaza kuwa anatarajia kutoa album ya muziki wa ‘House’ ambayo tayari ameanza kuiandaa. “I’m working on a house album right now and I want y’all to know, it’s coming,” Alisema Kelly. R.Kelly ambaye album yake ya 12 ‘Black Panties’ iliyotoka december 10, 2013 Marekani, imekamata nafasi ya 4 katika Billboard […]

 

9 years ago

Bongo5

Christian Bella hana mpango wa kutoa album

Nyota wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Christian Bella amesema hana mpango wa kuachia album kutokana na anguko la soko pamoja na kudai kazi zake zinaishi kwa muda mrefu. Bella ambaye ameachia wimbo mpya pamoja na bendi yake uitwao, Amerudi, amesema amejipanga kuboresha zaidi kazi zake ili ziwe na mvuto na ziishi kwa muda mrefu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani