Wasanii wa Tanzania kutotoa album ni uzembe, uoga na kutojiamini!
Wasanii wa Tanzania wana sababu nyingi sana za kwanini hawatoi album. Baadhi ya sababu kama kufa kwa mfumo wa uuzaji wa album uliokuwa ukifanywa na wahindi enzi za kanda za redio cassette na urudufuaji usio halali wa kazi zao unaofanywa na wafanyabiashara, zinaweza kueleweka kiasi na kutupa sababu za kuwasamehe. Lakini imefika wakati sasa wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Feb
Kwanini ni muhimu wasanii wa Tanzania waanze kutoa album tena!
10 years ago
Bongo507 Mar
Fid Q awasharikisha Sauti Sol, ataja sababu za kutotoa ngoma nyingi na wasanii wa hiphop kutofanikiwa
10 years ago
Bongo530 Oct
Rapper M.I wa Nigeria awashirikisha wasanii 27 kwenye album mpya
9 years ago
Bongo527 Nov
Babu Tale awashauri wasanii kutoa album na kuacha kuhofia kuibiwa
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amewataka wasanii wa Tanzania kuacha kuogopa kutoa album kwa madai ya kuogopa kuibiwa.
Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Tale alisema zipo nchi ambazo zinaongoza kwa wizi wa kazi za wasanii lakini bado wasanii wao wanatoa album.
“Wizi upo dunia nzima,” alisema Tale. “Ukienda Nigeria kuanzia airport wanafanya piracy. Hata Marekani, nafikiri ndio nchi ambayo inatushinda sisi hata kwa mambo ya digital lakini still bado wanatoa album na...
9 years ago
Bongo523 Nov
Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya
Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.
Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.
Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016
11 years ago
Michuziwasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania
10 years ago
Bongo513 Nov
Tyga atangaza tarehe ya kuachia album yake mpya ‘The Gold Album’
11 years ago
Bongo503 Aug
Album mpya ya 2face ‘The Ascension’ yaingia kwenye orodha ya Billboard ya album zinazouza zaidi duniani