wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s72-c/download.jpg)
Ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa wasanii wa Tanzania kuwa atachangia kuinua kiwango cha ujuzi na weledi wao kwa kuwaandalia mafunzo yatayoendeshwa na magwiji wa sanaa kutoka Marekani sasa imetimia.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s1600/download.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CRSBBUYH96I/U8VBgUGq5MI/AAAAAAAF2bU/_x2uN0W2dqs/s72-c/jk1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WASANII KUTOKA MAREKANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-CRSBBUYH96I/U8VBgUGq5MI/AAAAAAAF2bU/_x2uN0W2dqs/s1600/jk1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-s12-OBG1Qyc/U8VBia7EcSI/AAAAAAAF2bg/P63aa2LrdeU/s1600/jk11.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wasanii nyota wa filamu na muziki kutoka Marekani walioko nchini kwa ziara ya kutoa mafunzo kwa wasanii wa Tanzania. Wasanii hao ni na Terrence J. Jenkins, mwendeshaji wa kipindi cha muziki kwenye televisheni ya E! Entertainment (wa pili kulia) Chaka Zulu, Mtendaji wa Shughuli za Muziki kutoka Kampuni ya Disturbing The Peace Records (wa pili kushoto) na Davis Banner, mwigizaji, mwanamuziki, mtunzi na msimamizi wa shughuli za muziki ambaye amepata...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8aH4wETvVKFo61RtAWlhAVEKjuefsEXiGujAdpQYAmIFpNpZSrs52REnulq4upzQtua4RJU6dHzNI5hGZHpZj7L/1.jpg?width=650)
BASATA YATOA MAFUNZO KWA WASANII
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Ilikuwa hafla ya ghafla kwa ajili ya wasanii kuwaaga wasanii wakongwe
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
10 years ago
Bongo506 Feb
AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-clotu9eEilo/VPgncSMu4kI/AAAAAAAHHxk/MrmmFZwt4Nk/s72-c/basata.jpg)
BASATA KUENDESHA PROGRAM YA MAFUNZO YA SANAA KWA WATOTO WAPATAO 215 KUTOKA WILAYA YA TEMEKE MKOA WA DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-clotu9eEilo/VPgncSMu4kI/AAAAAAAHHxk/MrmmFZwt4Nk/s1600/basata.jpg)
Kwa mujibu wa Sera ya Taifa ya Utamaduni ya mwaka 1997 sura ya 9.6.16 Baraza linaelekezwa kushirikiana na wadau katika kuendesha matukio mbalimbali ya sanaa kama programu hii ya watoto.
Programu hii ya Sanaa kwa watoto ambayo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RR-aBPwVDU8/VTJgSBJABBI/AAAAAAAHR1I/Ny3HiJeP8IE/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
hafla ya ugawaji wa Mirabaha kwa Wabunifu na wasanii Zanzibar - Balozi Seif aonya walaghai wa kazi za wasanii
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alionya kwamba wananchi wanalazimika kujenga utamaduni wa kuthamini kazi za wabunifu na wasanii kwa kuona fahari kuzilipia bila ya shuruti pale wanapozitumia jambo ambalo ni uungwana na kinyume chake inahesabika kuwa ni wizi. Alisema Serikali kupitia Ofisi ya Hakimiliki, Bodi ya Hakimiliki na Jumuiya ya Hakimiliki Zanzibar { COSOZA } itaendelea kusimamia kazi za wabunifu na wasanii ili kuona kuwa maslahi,...
11 years ago
Michuzi05 Mar
Serikali ya China kuendesha mafunzo kwa wana michezo 30 wa Tanzania
Makubaliano hayo yalifanyika wakati Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania na China walipokutana mjini Beijing wiki iliyopita...
11 years ago
Dewji Blog30 May
Mwanza kumekucha wasanii wawasili kwenye Kili Music Tour
Baadhi ya wasanii watakaotoa burudani katika tamasha la Kili Music Tour litakalofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba JIjini Mwanza Jumamosi. Show hii inayodhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager ni ya pili kati ya kumi zitakazofanyika katika mikoa mbali mbali nchini.
Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamasha la Kili Music Tour litakalofanyika katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mbeya Jumamosi huku akiwa...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
JK atimiza ahadi kwa wasanii nchini
Terrence J. (Jenkins).
Ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa wasanii wa Tanzania kuwa atachangia kuinua kiwango cha ujuzi na weledi wao kwa kuwaandalia mafunzo yatayoendeshwa na magwiji wa sanaa kutoka Marekani sasa imetimia.
Akizindua Kampeni ya Uzalendo kwa Vijana inayoendeshwa na Muungano wa Wasanii Tanzania kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma mwezi uliopita, Juni 14, 2014, Rais Kikwete aliahidi kuchangia kuinua kiwango cha usanii na...