Maadhimisho ya kuachiliwa kwa Nelson Mandela: Kwanini alikuwa mtu muhimu ?
Leo ni siku ambayo Nelson Mandela anaadhimisha miaka 30 tangu alipoachiliwa kutoka gerezani wakati wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika kusini. NI siku inayotumika kumuenzi na kutambua mafanikio yake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PKQj2k3owKQ/U2KC7roOzkI/AAAAAAAAFYo/gIedmAPhi4o/s72-c/IMG_1329.jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI MKOANI RUKWA KATIKA UWANJA WA NELSON MANDELA MJINI SUMBAWANGA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PKQj2k3owKQ/U2KC7roOzkI/AAAAAAAAFYo/gIedmAPhi4o/s1600/IMG_1329.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HS8_9eG5aJI/U2KDSSxpthI/AAAAAAAAFYw/zZG-ZRMMQsc/s1600/IMG_1330.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSY96tqzO5BfSSQ3sP2hcfj8GzNCt653RdHwAMiIUzFEaT-65vHEfTpIyfmhQChMPKglGRSKn5wT9T*79wUxdp8o/madiba.jpg?width=650)
WOTE TUNA CHA KUJIFUNZA KWA NELSON MANDELA
NIANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunifikisha hapa nilipo leo, nikiwa na afya njema. Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kwa mara, wakati ukisoma habari hii, wapo mamilioni ya binadamu wenzetu kutoka sehemu mbalimbali duniani ambao hawako sawa. Hawawezi kusoma kama wewe unavyofanya hivi sasa kwa sababu hali zao haziwaruhusu, wengine wapo mahututi vitandani, wengine wana njaa kali na wengine wamepoteza maisha kwa...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela
>Licha ya kuacha simanzi na majozi kwa wananchi wa Afrika Kusini na dunia nzima, kifo cha Rais wa kwanza wa kizalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ni kama kimempa nafasi ya kupumua Rais Jacob Zuma.
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s72-c/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
TUZO YA HESHIMA KUTOLEWA KWA BABA WA TAIFA HAYATI JK NYERERE NA HAYATI NELSON MANDELA, JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-z_kgNZloIb4/VRkoNje0ZEI/AAAAAAAAHBk/bgO7BrLevv4/s1600/Tuzo%2Bya%2Bjamii.jpg)
MGENI RASMI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Mrisho Kikwete
WAGENI WAALIKWA:
Mara baada ya Hafla ya Tuzo ya Jamii ambapo Washindi wote watapewa Tuzo na Mgeni Rasmi, Kutakuwa na Dhifa ya Kitaifa ya Tuzo ya Jamii ambayo itahudhuriwa na wageni wafuatao:
Wapewa Tuzo, Familia za wapewa Tuzo, Viongozi...
12 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wasifu wa Nelson Mandela
Mandela alikuwa Rais wa zamani wa Afrika Kusini na amefariki akiwa na umri wa miaka
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Maisha ya Nelson Mandela
Nelson Mandela aaga dunia baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je utamkumbuka vipi Mandela
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/64878000/jpg/_64878424_mandela%2Bnew%2Btitle%2Bframe%2Blayers%2Bclean%2B.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania