Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela
>Licha ya kuacha simanzi na majozi kwa wananchi wa Afrika Kusini na dunia nzima, kifo cha Rais wa kwanza wa kizalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ni kama kimempa nafasi ya kupumua Rais Jacob Zuma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Zuma azindua sanamu ya Nelson Mandela
Afrika Kusini. Rais Jacob Zuma amezindua sanamu ya shaba ya shujaa wa Afrika, Nelson Mandela kwenye jengo la Muungano lililopo mji wa Pretoria.
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o
Katibu mkuu wa ANC amepuuzilia mbali wito wa Rais Zuma kuondolewa mamlakani kwa kura ya wabunge au hata kujizulu baada ya kuhusishwa na ufisadi.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Je ANC ni maarufu kuliko Rais Zuma?
Uchaguzi unaponukia Afrika Kusini, kuna dalili kuwa waafrika weusi wangali wanakienzi chama cha ANC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbcg5rxLC4aMq3jo0p47ZfOpfKCxAzsdbsM3LSelnclkIYvpGzCVtVkhs2CZztcYNcl58fhKj9Mwp6Oqs-5ZO4y/JK.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE KATIKA KUMBUKUMBU YA HAYATI NELSON MANDELA
Rais Jakaya Kikwete (wa nne kutoka kulia mstari wa pili) akiwa na mkewe mama Salma Kikwete katika ibada ya Kumbukumbu ya Kifo cha aliyekuwa kiongozi mashuhuri wa Afrika Kusini na duniani, Mheshimiwa Nelson R Mandela. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Desemba 10, 2013, ameungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi wa Afrika Kusini Kuadhimisha...
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
ANC watoa heshima kwa mwili wa Mandela
Wanachama wa Chama cha African National Congress (ANC) wametoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Hayati Nelson Mandela.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSY96tqzO5BfSSQ3sP2hcfj8GzNCt653RdHwAMiIUzFEaT-65vHEfTpIyfmhQChMPKglGRSKn5wT9T*79wUxdp8o/madiba.jpg?width=650)
WOTE TUNA CHA KUJIFUNZA KWA NELSON MANDELA
NIANZE kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuweza kunifikisha hapa nilipo leo, nikiwa na afya njema. Kama ambavyo nimekuwa nikisema mara kwa mara, wakati ukisoma habari hii, wapo mamilioni ya binadamu wenzetu kutoka sehemu mbalimbali duniani ambao hawako sawa. Hawawezi kusoma kama wewe unavyofanya hivi sasa kwa sababu hali zao haziwaruhusu, wengine wapo mahututi vitandani, wengine wana njaa kali na wengine wamepoteza maisha kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfaNpDjE255To9g2odM-Bd*g*MasQ*4EEVTCEEfkRGWJhUTsl4x7*MLSkNsVrzJnjitybg83Y6nvSloqmuR2MaSc/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATUNUKIWA PHD KATIKA MAHAFALI YA PILI YA TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA YA NELSON MANDELA JIJINI ARUSHA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambae pia ni Mkuu wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimtunuku shahada ya heshima ya Uzamivu PhD Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutambua mchango wake katika Jamii, kitaifa na kimataifa pamoja na kufanikisha kuanzishwa kwa Taasisi hiyo kwenye Mahafali ya pili iliyofanyika...
11 years ago
TheCitizen07 May
ANALYSIS: Why the poor still vote for Zuma’s ANC
>For middle class South Africans, it is a perplexing contradiction that the ANC continues to stay in power despite all the evidence of corruption displayed at the highest level of leadership and the party’s collusion with big corporations that are directly involved in the killing of poor workers.
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania