Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANC watoa heshima kwa mwili wa Mandela

Wanachama wa Chama cha African National Congress (ANC) wametoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Hayati Nelson Mandela.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Siku ya pili heshima mwili wa Mandela

Waombolezaji nchini Afrika Kusini wanaingia siku ya pili katika zoezi la kutoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini Hayati Nelson Mandela.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela

>Licha ya kuacha simanzi na majozi kwa wananchi wa Afrika Kusini na dunia nzima, kifo cha Rais wa kwanza wa kizalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ni kama kimempa nafasi ya kupumua Rais Jacob Zuma.

 

10 years ago

Vijimambo

VIONGOZI WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA JOHN NYERERE


 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu John  
Nyerere, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Msasani, jijini Dar es Salaam leo Mei 11, 2015. Marehemu John anatarajia kuzikwa keshokutwa nyumbani kwao Butiama. Picha na OMR

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwafariji wanafamilia baada ya kutoa...

 

11 years ago

BBC

Mandela ANC goodbye ahead of burial

Nelson Mandela's coffin is to set off for a farewell ceremony for ANC members ahead of Sunday's state funeral at his ancestral home in Qunu.

 

11 years ago

BBC

VIDEO: Mandela's daughter on ANC's record

The daughter of Nelson Mandela, Makaziwe Mandela tells BBC HARDtalk the behaviour of individuals in the ANC should not affect the party as a whole.

 

11 years ago

BBCSwahili

ANC ilifuja pesa za mazishi ya Mandela

Upinzani nchini Afrika Kusini unataka uchunguzi kufanywa kuhusiana na madai ya ubadhirifu wa pesa za mazishi ya hayati Nelson Mandela.

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa rais mstaafu

Mwili wa rais mstaafu wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi upo katika bunge ambapo Wakenya watatoa heshima zao za mwisho

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE NA MKEWE WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA BALOZI WA MALAWI FLOSSIE CHIDYAONGA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha maombolezo alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Marehemu Flossy Gomile-Chidyaonga leo katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam jana. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete…

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa siku ya pili mfululizo

Milolongo mirefu yashuhudiwa katika majengo ya bunge Kenya kuutazama mwili wa Daniel Arap Moi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani