VIONGOZI WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA JOHN NYERERE
![](http://3.bp.blogspot.com/-j1plBuCd4-o/VVF1XEMwg5I/AAAAAAAAblQ/yZXZfJ2fjfM/s72-c/01.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho mbele ya Jeneza lenye mwili wa marehemu John
Nyerere, wakati wa shughuli za kuaga mwili huo zilizofanyika nyumbani kwa Mama Maria Nyerere Msasani, jijini Dar es Salaam leo Mei 11, 2015. Marehemu John anatarajia kuzikwa keshokutwa nyumbani kwao Butiama. Picha na OMR Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwafariji wanafamilia baada ya kutoa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE NA MKEWE WATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA BALOZI WA MALAWI FLOSSIE CHIDYAONGA
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa rais mstaafu
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa siku ya pili mfululizo
11 years ago
Michuzi12 May
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3MWqP4uTHkU/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
LOWASSA Aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho za marehemu Dkt.Emmauel John Makaidi aliyekuwa Mwenyekiti chama cha NLD
Mh.Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho katika geneza liloweka mwili wa Shujaa wa Mabadiliko Dkt.Emmanuel Mkaidi katika viwanja vya karimjee jijini Dar -es- Salaam leo Oct 20,2015.
Mke wa Mh.Edward Lowassa Mma Regina akisalimi na mjane wa Dkt Mkaidi katika msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Dkt. Emmanuel Makaidi katika viwanja vya karimjee Oct 20,2015.
Mh.Mmbowe Mwenyekiti wa Chadema wakisalimiana na katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa mara baada ya kutoa heshma za mwisho wa pili...
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
ANC watoa heshima kwa mwili wa Mandela
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-InD53LTYAXY/U_c3m3cvEKI/AAAAAAAGBak/iGWOF2uzkRk/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
MH. PINDA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA JAJI MAKAME
![](http://4.bp.blogspot.com/-InD53LTYAXY/U_c3m3cvEKI/AAAAAAAGBak/iGWOF2uzkRk/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nLEeq3YF1A0/U_c3m9etkYI/AAAAAAAGBac/aC_rmD1iatU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Pinda aongoza waombolezaji kutoa heshima za mwisho kwa Jaji Makame
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimian na Mawaziri Wakuu, Wastaafu, Frederick Sumaye na Jaji Joseph Warioba (wapili kulia) kabla ya kuzungumza kwa niaba ya serikali na kutoa heshima za mwisho kwa Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, marehemu Jaji Lewis Makame kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam August 22, 2014. Kulia ni jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na jaji Mkuu Mohamed...