Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa siku ya pili mfululizo

Milolongo mirefu yashuhudiwa katika majengo ya bunge Kenya kuutazama mwili wa Daniel Arap Moi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa rais mstaafu

Mwili wa rais mstaafu wa Kenya Daniel Toroitich Arap Moi upo katika bunge ambapo Wakenya watatoa heshima zao za mwisho

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich arap Moi: Maelfu ya Wakenya na viongozi tofauti wahudhuria ibada ya mazishi katika uwanja wa Nyayo Nairobi

Maelfu ya Wakenya kutoka maeneo mbali mbali wamehudhuria ibada maalum ya kumuaga rais mstaafu Daniel Toroitich arap Moi katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi

Moi amezikwa kijijini kwake kaaribu na kaburi la marehemu mkewe Lena aliyeaga dunia mwaka 2004.

 

5 years ago

BBC

Kenyans say farewell to Daniel arap Moi

About 30,000 people packed a stadium for the state funeral of the country's longest-serving president.

 

5 years ago

CCM Blog

DANIEL ARAP MOI AZIKWA LEO KABARAK

  Rais wa zamani wa Kenya, Daniel arap Moi, anazikwa leo kwenye mji wa nyumbani kwake wa Kabarak baada ya maelfu ya watu kushiriki jana ibada ya kutoa salamu za mwisho mjini Nairobi.


Mwili wa Moi uliwasili Kabarak mapema leo asubuhi na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya aongoza mamia ya watu kushiriki mazishi yake yoliyonyika mchana wa leo.

Wakati wa ibada ya taifa hapo jana Rais Kenyatta alimwelezea Moi kuwa kiongozi mpenda amani, baba wa taifa na kinara wa kupigania bara la Afrika pamoja na haki...

 

5 years ago

BBC

Daniel arap Moi: How Kenyans learnt to laugh at the president

Ex-President Moi left a mixed legacy but Kenyans learnt to laugh at his dictatorial excesses.

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel arap Moi: Maisha yake katika picha

Picha zainazoeleza maisha ya raisi wa zamani wa Kenya arap ambaye amefariki akiwa na miaka 95.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maandalizi ya mazishi ya rais mstaafu Daniel Arap Moi yanaendelea

Matayarisho yanaendelea kwa kasi katika shule ya Kabarak, kwenye boma la aliyekuwa rais Daniel arap Moi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mazishi ya Daniel Arap Moi: Je ni vipi wazee huzikwa katika jamii ya Tugen?

Mzee Moi ni mzaliwa wa jamii ya Tugen jamii inayopatikana katika eneo la bonde la ufa nchini Kenya. Kama mzee wa jamii alitakiwa kuzikwa kupitia njia ya kitamaduni, lakini kutokana na hadhi yake ya kiserikali, utamaduni huo hautazingatiwa kikamilifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani