SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI
![](http://api.ning.com:80/files/Z-JJSpQIZ68YchqHfbbDsY2e6OzxW8mLiRTAnECwur-mP71hPz7IkZjHoSh7EGRxCgwzOjICf3fbXLPIsmOQ5z8Rm1Uw8c6d/BACKUWAZI.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu, Moro SKENDO mpya imeikumba Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kufuatia mwanamke mmoja, Rukia Fikiri (pichani) kudai kujifungua mtoto wa kiume kisha baadaye kukabidhiwa mtoto wa kike akiwa amefariki dunia, Uwazi linatiririka.Tukio hilo la kushangaza lilijiri Machi 25, mwaka huu katika wodi ya wazazi ya hospitali hiyo. Rukia Fikiri(kulia) akiwa na ndugu zake wakiwa wamebeba maiti ya mtoto wanaodai...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ellie na Nele: Wabadili jinsia kutoka ya kike hadi kiume na kurejesha ya kike tena
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFU*ES92RBUZvfBm1zBOOaq6FMVJQPOu5UEpu*20fbhGCIOv6RWS09Wd61DpgvpWxc9XpFgyDspwD5GI7CShwzLu/kuambiana.jpg?width=650)
KUAMBIANA ALIMTABIRIA RECHO KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME
5 years ago
BBCSwahili14 May
Mwanamuziki wa kike wa Uganda Juliana Kanyamozi ajifunguwa mtoto wa kiume
11 years ago
Michuzi21 Feb
MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKB8rO763wEzt2qQinNSA-5R8-c231xqYJf2UytPCRbUs6uQQnzduowQsvCv1OfiWXbeBwugzlypgl-7jqMqfwfur1Yn6qHi/skendo.jpg?width=650)
SKENDO! MAMA AJIFUNGUA, MANESI WADAIWA KUMTUMBUKIZA MTOTO KWENYE NDOO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/po*b5pjX*ekiqSJEfnocYCTomDhilTnedjZQqS*UI2CgTyjbPkEamkQY1IVJrPJqZhZi7gPY68VBeGES41IojcouYx4nlCCo/kibanoakitoshi.jpg?width=650)
MAMA ADAIWA KUMSULUBU MTOTO, APEWA KIBANO
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2
Bryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).
Bryan
Baiskeli aliyozawadiwa Bryan.
Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S
— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015
Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015
Donations have come from police, people dropping off at districts, other...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRAT-g5exRnycqZZvByszAot*kVF3xml7z00bilD8vKiim0i89t1TeOrOSNz4Hk4*AdETliQXVGh6Q*s7vBFjv3sQ/mama.jpg?width=650)
MAMA ADAI KUIBIWA MTOTO LEBA
10 years ago
Dewji Blog22 May
Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike
Aunt Ezekiel
Na Andrew Chale, Modewji blog
Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu Bongo Movie, kujua hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi. staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.
Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...