Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI

Na Mwandishi Wetu, Moro
SKENDO mpya imeikumba Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kufuatia mwanamke mmoja, Rukia Fikiri (pichani) kudai kujifungua mtoto wa kiume kisha baadaye kukabidhiwa mtoto wa kike akiwa amefariki dunia, Uwazi linatiririka.Tukio hilo la kushangaza lilijiri Machi 25, mwaka huu katika wodi ya wazazi ya hospitali hiyo. Rukia Fikiri(kulia) akiwa na ndugu zake wakiwa wamebeba maiti ya mtoto wanaodai...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ellie na Nele: Wabadili jinsia kutoka ya kike hadi kiume na kurejesha ya kike tena

Wanaume wawili waliobadili jinsia na kubadili fikra zao katika ya safari yao ya maisha

 

11 years ago

GPL

KUAMBIANA ALIMTABIRIA RECHO KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME

NaErick Evarist ALIYEKUWA dairekta na muigizaji mkali Bongo, marehemu Adam Kuambiana alimtabiria staa wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’ kuwa atajifungua mtoto wa kiume. Staa wa Bongo Movie, Rachel Haule ‘Recho’. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Recho ambaye ni wa leo wa kesho kujifungua, alikutana na marehemu maeneo ya Sinza jijini Dar na kumwambia atajifungua mtoto wa kiume na angependa aitwe...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki wa kike wa Uganda Juliana Kanyamozi ajifunguwa mtoto wa kiume

Mwanamziki kutoka Uganda Juliana Kanyomozi amejifungua mtoto wa kiume usiku wa kuamkia leo na kumpa jina la Taj.

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA

Sophia Kindamba akiwa na mwanae Junior Richard Rutta
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...

 

10 years ago

GPL

SKENDO! MAMA AJIFUNGUA, MANESI WADAIWA KUMTUMBUKIZA MTOTO KWENYE NDOO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
No! Manesi wa wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro wameingia kwenye kashfa nzito ya kusababisha kifo baada ya kudaiwa kumtumbukiza mtoto mchanga kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Katoto kachanga kalikotumbukizwa kwenye ndoo kwa zaidi ya saa 3. Tukio hilo ambalo kwa sasa ni gumzo mkoani hapa lilijiri hivi karibuni ambapo mwanamke aitwaye Zainabu lsmali, mkazi wa Kididimo...

 

10 years ago

GPL

MAMA ADAIWA KUMSULUBU MTOTO, APEWA KIBANO

Na  Gladness Mallya na Shani Ramadhani
HII ni too much! Jalada namba KW/RB/7565/2014-SHAMBULIO LA KUDHURU MWILI lililopo kwenye Kituo cha Polisi cha Kawe, Dar, linamhusu mama aliyetajwa kwa jina moja la Teddy, mkazi wa Tegeta kwa madai ya kumtumikisha na kumtesa mtoto Magdalena Elisha (10) na kumsababishia majeraha na makovu ya vidonda sehemu mbalimbali mwilini. Mama anayedaiwa kumsulubu mtoto huyo akilia baada ya kutiwa...

 

9 years ago

Global Publishers

Mtoto wa Miaka 4 aishi na maiti ya mama yake kwa siku 2

maittiBryan Allen akiwa na mama yake Shaleena Hamilton (enzi za uhai wake).maitinBryanmaitiiBaiskeli aliyozawadiwa Bryan.

Bryan Allen is “doing well” after he survived 48 hours, after his mom died. Thought mom was sleeping @news4buffalo pic.twitter.com/UZXUma2c6S

— Marissa Perlman (@MPerlman4) December 14, 2015

Bryan won’t be here, but here’s his new bike pic.twitter.com/pOjtb55QFu — Aaron Besecker (@AaronBesecker) December 14, 2015

Donations have come from police, people dropping off at districts, other...

 

11 years ago

GPL

MAMA ADAI KUIBIWA MTOTO LEBA

Stori: Chande abdallah na Deogratius Mongela  Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jinala Shakila Bakari (30),mkazi wa Mbagala jijini Dar, ametoa madai mazito kuwa manesi wa hospitali moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Mbagala wamemuiba mmoja wa watoto wake wawili aliojifungua Machi 28, mwaka huu. Mama Shakila Bakari (30), mkazi wa Mbagala jijini Dar. Akizungumza na gazeti hili juzi, Shakila alisema siku ya tukio majira ya saa 6...

 

10 years ago

Dewji Blog

Staa wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel sasa ni Mama COOKIE!! ajifungua mtoto wa kike

AUNTY35Aunt Ezekiel

Na Andrew Chale, Modewji blog

Ilikuwa si rahisi kama ilivyojulikana na wengi hasa kwa namna ya ‘fans’ wa staa wa filamu za Bongo maalufu  Bongo  Movie,  kujua  hatma ya ujauzito wake ambao ulikuwa ukifuatiliwa na wengi.  staa huyo si mwingine ni Aunty Ezekiel (pichani), katika kipindii chote cha ujauzito wake. Lakini kwa neema za Mungu, Asubuhi ya Mei 21.2015, staa huyo aliweza kuifungulia dunia kwa kumleta mtoto wa kike.

Hata hivyo, Mtoto huyo tayari jina lake limeshajulikana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani