Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA

Sophia Kindamba akiwa na mwanae Junior Richard Rutta
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Nuru The Light aeleza kwanini wanamuziki wa kike hawashirikiani kama wa kiume

Ni nadra sana wasanii wa kike kushirikishana kwenye nyimbo zao kama wafanyavyo wasanii wa kiume. Tatizo ni nini? Tumezungumza na msanii wa Tanzania anayeishi nchini Sweden, Nuru The Light aliyetueleza sababu. “Wanawake hawajakuzwa kwenye mazingira ya kucompete na wanaume, let alone na wanawake wenzao. So chochote kile kitakachowafanya washirikiane always kutakuwa na doubt au insecurities, […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki wa kike wa Uganda Juliana Kanyamozi ajifunguwa mtoto wa kiume

Mwanamziki kutoka Uganda Juliana Kanyomozi amejifungua mtoto wa kiume usiku wa kuamkia leo na kumpa jina la Taj.

 

10 years ago

GPL

SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI

Na Mwandishi Wetu, Moro
SKENDO mpya imeikumba Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kufuatia mwanamke mmoja, Rukia Fikiri (pichani) kudai kujifungua mtoto wa kiume kisha baadaye kukabidhiwa mtoto wa kike akiwa amefariki dunia, Uwazi linatiririka.Tukio hilo la kushangaza lilijiri Machi 25, mwaka huu katika wodi ya wazazi ya hospitali hiyo. Rukia Fikiri(kulia) akiwa na ndugu zake wakiwa wamebeba maiti ya mtoto wanaodai...

 

10 years ago

Habarileo

Baba aomba msaada mtoto wake atibiwe

PAULO Msangawale anayesoma Shule ya Msingi Katusa, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameshindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ulemavu wa kudumu na sasa anaomba msaada wa matibabu zaidi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Ellie na Nele: Wabadili jinsia kutoka ya kike hadi kiume na kurejesha ya kike tena

Wanaume wawili waliobadili jinsia na kubadili fikra zao katika ya safari yao ya maisha

 

5 years ago

Michuzi

MTOTO WA MIAKA TISA AOMBA MSAADA KWA WASAMARIA WEMA AKAPATE MATIBABU YA MOYO MUHIMBILI


NA  YEREMIAS  NGERANGERA…NAMTUMBOMtoto mwenye umri wa miaka  tisa na mwanafunzi wa darasa la tatu  katika shule ya msingi Likuyuseka wilayani Namtumbo  mkoani Ruvuma Jeska James Kifaru anaomba kutoka kwa wasamaria wema kumsaidia mchango wa fedha ili aweze  kwenda matibabu ya moyo katika hospitali ya Taifa Muhimbili  baada ya wazazi wake kutokuwa na uwezo wa kumfikisha katika hospitali hiyo.Akiongea akiwa katika ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya Namtumbo  Jeska alisema anaomba msaada kwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 2 amuokoa mamake

Mtoto mwenye umri wa miaka 2 pekee amepokea sifa kedekede kwa kuokoa maisha ya mamake kwa kuwapigia simu wahudumu wa afya baada ya mamake kuzimia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Simba amlilia mamake

Mtoto wa simba aliwaongoza askari wa kulinda wanyama kwenda ulipo mwili wa mama yake ambaye alikuwa ameuawa mbugani India

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 12 ataka kumuua mamake kisa ?

Mtoto wa miaka 12 ameshtakiwa kwa jaribio la kumuua mamake kwa kumpokonya iphone

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani