Nuru The Light aeleza kwanini wanamuziki wa kike hawashirikiani kama wa kiume
Ni nadra sana wasanii wa kike kushirikishana kwenye nyimbo zao kama wafanyavyo wasanii wa kiume. Tatizo ni nini? Tumezungumza na msanii wa Tanzania anayeishi nchini Sweden, Nuru The Light aliyetueleza sababu. “Wanawake hawajakuzwa kwenye mazingira ya kucompete na wanaume, let alone na wanawake wenzao. So chochote kile kitakachowafanya washirikiane always kutakuwa na doubt au insecurities, […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo528 Sep
Lamar aeleza kwanini haishi na mwanae wa kike mwenye miaka 8!
11 years ago
Michuzi21 Feb
MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...
9 years ago
Bongo514 Oct
Video: Nuru the Light — L (Re-Uploaded)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IE4iyuflJpw/U6oVSi_NrmI/AAAAAAAAHJc/i_5W089ZG0Q/s72-c/Nuru.jpg)
Mahojiano na Kwanza Production na NURU THE LIGHT
![](http://1.bp.blogspot.com/-IE4iyuflJpw/U6oVSi_NrmI/AAAAAAAAHJc/i_5W089ZG0Q/s1600/Nuru.jpg)
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Nuru the Light: Wasanii msiige ya Nigeria
NA JULIET MORI (TUDARCO)
MSANII wa Bongo Fleva anayefanyia shughuli zake za kimuziki nchini Sweden, Nuru Magram ‘Nuru the Light’ amewataka wasanii wa Tanzania waache kushindana na soko la sanaa la Nigeria kwa kuwa halifanani na soko la hapa.
Msanii huyo alisema hayo jana, alipotembelea ofisi za kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Bingwa, Dimba, The African na Rai.
Alisema Wanigeria hawakuanza jana kuwekeza katika sanaa, ndiyo maana sanaa yao hubadilika...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ellie na Nele: Wabadili jinsia kutoka ya kike hadi kiume na kurejesha ya kike tena
9 years ago
Dewji Blog27 Aug
Nuru The Light atoka na ngoma mpya iitwayo ‘L’
Ukimya wa miaka miwili wa Nuru The Light ulikuwa na makusudi mahsusi ya kutaka kubadilisha upepo wa muziki wa Tanzania. Ameutumia kutengeneza muziki tofauti, mzuri na utakaokuwa na ladha inayoishi kwa miaka mingi zaidi kwenye masikio ya wapenzi wa muziki.
Na sasa anarejea kwa kishindo kwa kuachia wimbo anaouelezea kama wenye utofauti mkubwa na muziki uliopo kwenye mzunguko wa nyimbo zinazochezwa kwenye redio.
Nuru anasema hakutaka ujio wake kutoka kwenye ukimya wa miaka miwili uwe wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/rmfWbRXy4r4/default.jpg)