Ellie na Nele: Wabadili jinsia kutoka ya kike hadi kiume na kurejesha ya kike tena
Wanaume wawili waliobadili jinsia na kubadili fikra zao katika ya safari yao ya maisha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
SKENDO WODINI: MAMA ADAI KUJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, APEWA WA KIKE TENA MAITI
Na Mwandishi Wetu, Moro
SKENDO mpya imeikumba Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro kufuatia mwanamke mmoja, Rukia Fikiri (pichani) kudai kujifungua mtoto wa kiume kisha baadaye kukabidhiwa mtoto wa kike akiwa amefariki dunia, Uwazi linatiririka.Tukio hilo la kushangaza lilijiri Machi 25, mwaka huu katika wodi ya wazazi ya hospitali hiyo. Rukia Fikiri(kulia) akiwa na ndugu zake wakiwa wamebeba maiti ya mtoto wanaodai...
11 years ago
Tanzania Daima20 Apr
Mahabusu wa kike, kiume wafungiwa chumba kimoja
WANANCHI wa Kijiji cha Jojo, Kata ya Santilya, Wilaya ya Mbeya Vijijini, wamelaani kitendo cha Katibu Mtendaji wao, Anderson Yamaliha, kuwakamata wanaume watano, mwanamke mmoja na kuwafungia chumba kimoja, akidai...
5 years ago
BBCSwahili14 May
Mwanamuziki wa kike wa Uganda Juliana Kanyamozi ajifunguwa mtoto wa kiume
Mwanamziki kutoka Uganda Juliana Kanyomozi amejifungua mtoto wa kiume usiku wa kuamkia leo na kumpa jina la Taj.
10 years ago
Bongo526 Oct
Nuru The Light aeleza kwanini wanamuziki wa kike hawashirikiani kama wa kiume
Ni nadra sana wasanii wa kike kushirikishana kwenye nyimbo zao kama wafanyavyo wasanii wa kiume. Tatizo ni nini? Tumezungumza na msanii wa Tanzania anayeishi nchini Sweden, Nuru The Light aliyetueleza sababu. “Wanawake hawajakuzwa kwenye mazingira ya kucompete na wanaume, let alone na wanawake wenzao. So chochote kile kitakachowafanya washirikiane always kutakuwa na doubt au insecurities, […]
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI TAULO ZA KIKE 'PEDI' ZA MIL 7.8 KWA WANAFUNZI WA KIKE DARASA LA SABA 2020 Inbox x
Na Kadama Malunde - Malunde 1 bogMbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi Taulo laini za kike ‘Pedi’ zinazofuliwa zenye thamani ya shilingi milioni 7.7 zilizotokana na mchango wake kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo mkoani...
11 years ago
Michuzi21 Feb
MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...
10 years ago
GPL
MASTAA WA KIKE BONGO MOVIES MTAIGIZA MAISHA YENU HADI LINI?
Mastaa wa Bongo Movies. Bila shaka mko poa na mnaendelea na harakati zenu za kila siku, najua mna mishemishe nyingi kweli japo najua nyingi ni za starehe zaidi.Binafsi mimi niko poa naendelea na majukumu yangu ya kila siku ikiwemo hili la kuwaandikia barua. Madhumuni ya barua hii ni kama inavyojieleza hapo juu katika kichwa chake cha habari. Ndugu zangu, nimekuwa nikifuatilia aina ya maisha mnayoishi kwa muda mrefu nimegundua...
10 years ago
GPL
SHAMBULIO TENA PARIS, POLISI WA KIKE AUAWA KWA RISASI
Mmoja wa majeruhi wa shambulio la leo akipatiwa huduma ya kwanza na kikosi cha uokoaji. Eneo la Montrouge jijini Paris nchini Ufaransa lilipotokea shambulio la leo.…
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Dj wa kike kutoka Nigeria, maarufu ‘DJ Cuppy’ atua nchini afanya shughuli za kijamii
DJ Cuppy katika moja ya kazi zake..
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania