Lamar aeleza kwanini haishi na mwanae wa kike mwenye miaka 8!
Lamar ana mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane aitwaye Nisha. Akiongea hivi karibuni kwenye kipindi cha Chill na Sky, Lamar alisema haishi na mwanae kwakuwa yupo nje ya nchi. “Mimi mtoto wangu alikuwa hakai sana na mimi na mama yake alikuwa anaishi Canada sasa hivi yupo Marekani. Huwa anakuja wakati wa likizo tu,” […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Oct
Nuru The Light aeleza kwanini wanamuziki wa kike hawashirikiani kama wa kiume
10 years ago
Bongo522 Jan
Baba wa marehemu Geez Mabovu amtembelea Lamar kusikiliza kazi alizoacha mwanae
9 years ago
Bongo527 Oct
Godzilla aeleza kwanini video ya ‘Stay’ imechelewa kutoka
9 years ago
Bongo519 Oct
Ben Pol aeleza kwanini alishindwa kumaliza chuo
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Dee aeleza kwanini alijiondoa ‘Mtu Chee’
10 years ago
Bongo Movies06 Jun
Kallage Aeleza Kwanini Ameacha Kufanya Video za Muziki
Mtayarishaji video za muziki na filamu anayeshikilia rekodi ya kushinda tuzo mbili za filamu za TAFA 2015, John Kallaghe amefunguka juu ya sababu za kuacha kufanya video za muziki, kubwa ikiwa ni mabadiliko ya soko na kupungua kwa wawezeshaji katika soko hilo.
Kallaghe ameiambia eNewz ya EATV kuwa soko la utayarishaji video linabadilika kwa kasi kinguvu kazi na kiteknolojia likihitaji vipaji vipya na mtu aliye tayari kwenda kwa kasi hiyo, pili ikiwa ni kuanza kupotea kwa wadau ambao...
9 years ago
Bongo504 Jan
Faiza ajizushia kifo, aeleza kwanini alifanya hivyo
![Faiza Ally](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/Faiza-Ally-300x194.jpg)
Faiza Ally hufanya kile akili yake inamtuma na ndio maana hivi karibuni alijizushia kifo chake mwenyewe na kusababisha tafrani kubwa.
Faiza Ally akiwa mwenye machozi
Kipitia ukurasa wake wa Facebook, aliandika: Faiza Ally kafa akiwa anatoka location
Akizungumzia sababu ya kuandika ujumbe huo, Faiza ameiambia Bongo5 kuwa alifanya hivyo baada ya kukasirishwa na madirector wa filamu yake mpya ambao wamekuwa wakimsumbua.
“Niliamua tu kuandika kuwa nimekufa,” amesema. “Hawa director wangu wa...
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/Untitled9.jpg)
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...
9 years ago
Bongo530 Dec
Kajala aeleza kwanini ametoa filamu chache mwaka huu
![kajala](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/kajala-300x194.jpg)
Kajala amesema mwaka 2015 ametayarisha filamu nyingi lakini ameshindwa kuzitoa kutokana na soko la filamu kusuasua.
Muigizaji ameiambia Bongo5 kuwa mwaka 2016 utakuwa ni mwaka mzuri kwa kuwa tayari ana kazi ndani ambazo hajazitoa.
“Siwezi sema kwangu kuna tatizo ni kujipanga tu licha ya changamoto za wezi wa kazi zetu ambao wanatukatisha tamaa,” alisema.
“Lakini nashukuru kuona serikali tayari imeanza kurudisha matumaini kwa kujaribu kuweka sheria ili tupate haki zetu kwa sababu wasanii...