Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baba wa marehemu Geez Mabovu amtembelea Lamar kusikiliza kazi alizoacha mwanae

Baba wa marehemu, Geez Mabovu, Mzee Ally, amemtembelea producer Lamar kwenye studio zake jijini Dar es Salaam na kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu kazi za mwanae zilizosalia. Lamar ameiambia Bongo5 kuwa Mabovu aliacha ngoma saba ambazo zitatoka kwa njia ya album itakayouzwa. “Alikuja tu kunitembelea na kusikiliza kazi ambazo aliacha Geez,” amesema Lamar. “Mimi ndo nina […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Marehemu Geez Mabovu azikwa Mlolo, Iringa

Mazishi ya rapper Geez Mabovu yamefanyika jioni ya Alhamis ya wiki hii kwenye makaburi yaliyopo eneo la Mlolo mjini Iringa. Joh Makini ni miongoni mwa wasanii waliohudhuria mazishi hayo Wengine waliohudhuria ni pamoja na producer Lamar na members wengine wa Weusi. Geez alifariki usiku wa jana akiwa kwao mjini humo baada ya kuugua kwa siku […]

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA

Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI wa Hip Hop nchini, Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' amefariki dunia jana usiku akiwa mkoani Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita akitokea jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa bwana Dennis ambaye alikuwa mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha kuhusu kifo hicho na kusema rapa huyo aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya. Marehemu Geez...

 

10 years ago

Bongo5

Breaking: Geez Mabovu afariki dunia

Taarifa zilizotufikia hivi punde zimedai kuwa rapper Geez Mabovu amefariki dunia leo mjini Iringa. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Iringa, Geez amefariki jioni hii. Alienda kwao wiki moja na nusu iliyopita ambako alianza kuugua mfululizo. Taarifa zaidi zinakuja. December 27 mwaka jana, hitmaker huyo wa Mtoto wa Kiume alizidiwa ghafla kabla ya show iliyokuwa ifanyike […]

 

10 years ago

CloudsFM

10 years ago

Bongo5

Msiba wa Geez Mabovu: Young Killer aahirisha kuachia video ya 13 leo

Young Killer ametangaza kuaharisha kuachia video ya wimbo wake ’13’ aliomshirikisha Fid Q kufuatia msiba wa rapper Geez Mabovu uliotokea jana usiku. Video hiyo ilikuwa iachie Alhamis hii. Kupitia Instagram, Killer amesema video hiyo sasa itaachiwa Ijumaa ijayo. Kuna taarifa kuwa Geez anaweza kuzikwa leo kwao mjini Iringa.

 

10 years ago

Bongo5

Weusi waahirisha show ya Mbeya kufuatia kifo cha Geez Mabovu

Weusi wamethibitisha kwa Bongo5 kuwa wameahirisha show yao ya Funga Mwaka iliyokuwa ifanyike jijini Mbeya Ijumaa hii kufuatia kifo cha rapper Geez Mabovu kilichotokea Jumatano jioni. Joh Makini amesema Geez alikuwa kama mtu wa familia yao. “Kusema na ukweli hatutaweza kufanya show ya Mbeya,” Joh Makini ameimbia Bongo5 kwa huzuni. “Ni kwasababu Geez ni mshikaji […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Breaking News: Msanii maarufu wa Hip Hop nchini Geez Mabovu afariki dunia

Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Iringa, Geez amefariki jioni hii. Alienda kwao wiki moja na nusu iliyopita ambako alianza kuugua mfululizo mpaka mauti yalipomkuta.

Geez atazikwa kesho (Leo) jioni November 13 2014. 

 

 

10 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:msanii wa bongofleva Geez mabovu afariki dunia mjini Iringa usiku huu.

Msanii wa muziki wa bongofleva (pichani enzi za uhai wake )Ahmed Ally Upete ambaye pia alitambulika kwa jina la kisanii  kama Geez Mabovu,emefariki Dunia mnamo majira ya saa moja usiku wa leo,taarifa zinaeleza kuwa Geez amekutwa na umauti nyumbani kwao mjini Iringa.Taarifa kamili tutawaletea kadiri ya zitakavyokuwa zikiingia,MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani