NEWZ ALERT:msanii wa bongofleva Geez mabovu afariki dunia mjini Iringa usiku huu.
Msanii wa muziki wa bongofleva (pichani enzi za uhai wake )Ahmed Ally Upete ambaye pia alitambulika kwa jina la kisanii kama Geez Mabovu,emefariki Dunia mnamo majira ya saa moja usiku wa leo,taarifa zinaeleza kuwa Geez amekutwa na umauti nyumbani kwao mjini Iringa.Taarifa kamili tutawaletea kadiri ya zitakavyokuwa zikiingia,MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Nov
Breaking News: Msanii maarufu wa Hip Hop nchini Geez Mabovu afariki dunia
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Iringa, Geez amefariki jioni hii. Alienda kwao wiki moja na nusu iliyopita ambako alianza kuugua mfululizo mpaka mauti yalipomkuta.
Geez atazikwa kesho (Leo) jioni November 13 2014.
10 years ago
Bongo512 Nov
Breaking: Geez Mabovu afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJSI3sXfh3WDvaNjOWDEr29EueevlJ3pNgkDNH4pNkvsgc8C6FyEb0V9OcsKakXMS2RbusQzSnZCqZrasg431v*jG3mK7pL8/GeezMabovu.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LbvIYHO7SOQ/XqfTT34z4kI/AAAAAAALoZ8/NVfNifAc9kcPwBQhXxPryJA3T4SG2KzWACLcBGAsYHQ/s72-c/db2c6887-8d2e-4784-b184-f217c456f0b1.jpg)
NEWZ ALERT :JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AFARIKI DUNIA
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMEN
![](https://1.bp.blogspot.com/-LbvIYHO7SOQ/XqfTT34z4kI/AAAAAAALoZ8/NVfNifAc9kcPwBQhXxPryJA3T4SG2KzWACLcBGAsYHQ/s1600/db2c6887-8d2e-4784-b184-f217c456f0b1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s72-c/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
NEWZ ALERT : KATIBU MKUU CHAMA CHA CUF AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-7z7YKe3ksQk/XoLToF8db3I/AAAAAAALlo8/8t6WpQ48EZITk8LpB7vF5YjEGsZ1UQg2wCLcBGAsYHQ/s640/4ef51247-c9a0-4c61-b6fb-d08018fc7663.jpg)
Marehemu Khalifa amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Aga Khan alipokuwa akipatiwa matibabu kutokana na Matatizo ya ini.
Kwa hakika Chama kimepata pigo kubwa na kwa yakini marehemu ameacha pengo ambalo haliwezi kuzibika kirahisi.
CUF-Chama Cha Wananchi kinatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.jpg)
NEWZ ALERT: MBUNGE WA JIMBO LA SUMVE RICHARD NDASA AFARIKI DUNIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-JRNjD8GPUpU/XqltPBBnfpI/AAAAAAALojc/UwJeZbp_U7wu3siNWHiQAmoEZRd270v_gCLcBGAsYHQ/s640/unnamed.jpg)
10 years ago
CloudsFM14 Nov
10 years ago
Bongo513 Nov
Marehemu Geez Mabovu azikwa Mlolo, Iringa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s72-c/BANZA.jpg)
NEWS ALERT: BANZA STONE AFARIKI DUNIA MCHANA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-s_sob3RNbpQ/Vajpr9P53HI/AAAAAAAHqOk/K2vvOXpbANI/s640/BANZA.jpg)
TAARIFA ZAIDI ZITAWAJIA BAADAE KIDOGO.