MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/oJSI3sXfh3WDvaNjOWDEr29EueevlJ3pNgkDNH4pNkvsgc8C6FyEb0V9OcsKakXMS2RbusQzSnZCqZrasg431v*jG3mK7pL8/GeezMabovu.jpg?width=650)
Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI wa Hip Hop nchini, Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' amefariki dunia jana usiku akiwa mkoani Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita akitokea jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa bwana Dennis ambaye alikuwa mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha kuhusu kifo hicho na kusema rapa huyo aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya. Marehemu Geez...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo512 Nov
Breaking: Geez Mabovu afariki dunia
10 years ago
Bongo Movies13 Nov
Breaking News: Msanii maarufu wa Hip Hop nchini Geez Mabovu afariki dunia
Taarifa zilizothibitishwa ni kwamba rapper Geez Mabovu ambae ni maarufu kwenye muziki wa hiphop Tanzania, amefariki dunia kwenye hospitali aliyokua amelazwa nyumbani kwao Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita kutokea Dar es salaam.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Iringa, Geez amefariki jioni hii. Alienda kwao wiki moja na nusu iliyopita ambako alianza kuugua mfululizo mpaka mauti yalipomkuta.
Geez atazikwa kesho (Leo) jioni November 13 2014.
10 years ago
Michuzi13 Nov
NEWZ ALERT:msanii wa bongofleva Geez mabovu afariki dunia mjini Iringa usiku huu.
![](https://3.bp.blogspot.com/-rBbIFEx69LI/VGO81SWEPLI/AAAAAAACuro/EtX8p6Ge5dc/s640/index.jpg)
10 years ago
CloudsFM14 Nov
10 years ago
Bongo513 Nov
Marehemu Geez Mabovu azikwa Mlolo, Iringa
11 years ago
GPL16 Dec
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZ1lJxjdE8Kcuzb0AuwIlBRdYjaNO0B8NhVofXlTLssEP2LvkrtgPanJgo00QhwaMTEqHjenD47o6ulQNzKQfTi/fmacademy.jpg)
MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mwanamuziki Joseph Shabalala afariki dunia
9 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mwanamuziki Natalie Cole afariki dunia