Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA

Stori: Gladness Mallya MUNGU akutangulie! Katika hali ya majonzi Bendi ya muziki wa dansi, FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ imepata pigo baada ya kuondokewa na mwanamuziki wao mwimbaji almaarufu kwa jina la Digitali. Aliyekuwa mwimbaji maarufu wa bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’ almaarufu kwa jina la Digitali enzi za uhai wake. Akizungumza na Ijumaa Wikienda wikiendi iliyopita, rais wa bendi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MMILIKI WA FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA

Martin Kasyanju enzi za uhai wake. Mmiliki wa Bendi ya FM Academia, Martin Kasyanju amefariki dunia jana. Msemaji wa Bendi ya FM Academia, Kelvin Mkinga amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kusema kuwa Martin amefariki akiwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa siku chache. Kwa mujibu wa Kelvin ni kwamba marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria lakini baadaye ikagundulika kuwa ana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Natalie Cole afariki dunia

Natalie Cole, mwanamuziki nyota kutoka Marekani aliyeimba nyimbo maarufu kama vile Unforgettable, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 65.

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA

Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' enzi za uhai wake. MWANAMUZIKI wa Hip Hop nchini, Ahmed Ally Upete 'Geez Mabovu' amefariki dunia jana usiku akiwa mkoani Iringa alikokwenda wiki mbili zilizopita akitokea jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa bwana Dennis ambaye alikuwa mtu wa karibu wa Geez Mabovu amethibitisha kuhusu kifo hicho na kusema rapa huyo aliondoka Dar kwenda Iringa akiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kiafya. Marehemu Geez...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki Joseph Shabalala afariki dunia

Joseph Shabalala, ambaye alisaidia kuanzisha sauti ya muziki wa jadi wa Kizulu ulimwenguni, amefariki akiwa na umri wa miaka 78.

 

10 years ago

GPL

SIMANZI: MWANAMUZIKI BANZA STONE AFARIKI DUNIA

Staa wa Muziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ amefariki dunia mchana huu baada ya kuugua kwa muda mrefu. Kaka wa marehemu aitwaye Hamis amethibisha msiba huo.

 

10 years ago

Michuzi

MWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AFARIKI DUNIA


Mwanamuziki Mkongwe kutoka bendi ya muziki wa dansi ya Twanga Pepeta,pichani kulia enzi za uhai wake akiwa kazini,ajulikanae kwa jina la Amigolas amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo,katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar.
Taarifa za awali ambazo chumba cha habari cha Globu ya Jamii imezipata kutoka kwa vyanzo vya kuaminika,zinaeleza kuwa Marehemu Amigolas alikuwa akisumbuliwa na maradhi ya Moyo mpaka kufariki kwake.
Tutaendelea kupeana taarifa zaidi kuhusiana na msiba huu kwa...

 

10 years ago

GPL

MWANAMUZIKI WA MAQUIS ORIGINAL, MUTOMBO LUFUNGULA AUDAX AFARIKI DUNIA

Marehemu Mutombo Lufungula Audax (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kasongo Mpinda. MWANAMUZIKI na mtunzi mashuhuri wa Bendi ya Maquis Original, Mutombo Lufungula Audax, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, huko Kimara-Michungwani jijini Dar es Salaam. Mwili wake umepelekwa kuhifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Audax alikuwa mmoja wa wanamuziki asili wa Kundi la Maquis Du Zaire. Kundi la Maquis...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZ: MWANAMUZIKI MKONGWE SHEM KARENGA AFARIKI DUNIA

Marehemu Shem Ibrahim Karenga enzi za uhai wake.
Mwanamuziki Mkongwe hapa nchini ,Shem Ibrahim Kalenga amefariki Dunia mapema leo katika hospitali ya Amana,Ilala Jijini Dar.Habari zilizotufikia zinaeleza kuwa mkongwe huyo amefariki hospitali ya Amana na kuwa msiba utakuwa nyumbani kwake Buguruni.Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho makaburi ya kisutu baada ya sala ya Alasiri

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI -AMINA
=======  ======  ======= ========
SHEM IBRAHIM KARENGA ni mmoja...

 

5 years ago

Michuzi

Mwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81

Msanii gwiji wa muziki wa Country nchini Marekani Kenny Rogers amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.

Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".

Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.

Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani