MMILIKI WA FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TOzonwo3L5K*gx61rgjYqbwDmTB1ZuXpQfCfwGMZDEDvOEX0cSmX8syU1XGdRFIq7vXJi2RmQFslKpzi6qBipSu/MARTINFM.jpg)
Martin Kasyanju enzi za uhai wake. Mmiliki wa Bendi ya FM Academia, Martin Kasyanju amefariki dunia jana. Msemaji wa Bendi ya FM Academia, Kelvin Mkinga amethibitisha kutokea kwa msiba huo na kusema kuwa Martin amefariki akiwa katika Hospitali ya Aga Khan jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa siku chache. Kwa mujibu wa Kelvin ni kwamba marehemu alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa malaria lakini baadaye ikagundulika kuwa ana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAZ1lJxjdE8Kcuzb0AuwIlBRdYjaNO0B8NhVofXlTLssEP2LvkrtgPanJgo00QhwaMTEqHjenD47o6ulQNzKQfTi/fmacademy.jpg)
MWANAMUZIKI FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA
11 years ago
CloudsFM29 May
MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI DUNIA
BILIONEA Malcolm Glazer, aliyeshinda tenda ya utata ya kuichukua Manchester United mwaka 2005, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85. Mfanyabiashara huyo wa Marekani atakumbukwa kama bilionea wa Florida aliyeichukua kuimiliki binafsi United miaka tisa iliyopita na kuwekeza zaidi ya Pauni Milioni 500.
Glazer mkubwa amekuwa mgonjwa kwa muda sasa na kuwaachia shughuli za uendeshaji wa United watoto wake wa kiume, Joel na Avram.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gOUhNMx9r9M/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pdiUswshTHC8kRIm0jgIhOvczw-pVtSN4-VFwJqWTrIFGvhUsx88Y2mBIXAOdXBWiuv9m6Y2Nd3IBIXQxwSgzhrj7fVKnidn/GLAZER.jpg)
MMILIKI WA MANCHESTER UNITED AFARIKI
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/lJ0zZd5vkK8/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Feb
Mtume aliyetabiri mwisho wa dunia afariki dunia
10 years ago
CloudsFM21 Oct
MSANII YP AFARIKI DUNIA
Msanii aliyekuwa mkali wa Bongo Fleva, YP kutoka kundi la wanaume Family amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.
Meneja wa kundi hilo Said Fella amethibitisha kutokea kwa msiba wa msanii huyo, aliyefariki kwa maradhi ya kifua katika hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Gurumo afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Y-P WA TMK AFARIKI DUNIA