WADAU WA MUZIKI WAMLILIA MMILIKI WA BENDI YA FM ACADEMIA
![](http://img.youtube.com/vi/gOUhNMx9r9M/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jan
FM Academia; Bendi ya muziki wa dansi wa kizazi kipya iliyokaa kileleni miaka 16
9 years ago
Michuzi02 Nov
WADAU WAMLILIA BABA WA FM ACADEMIA "WANA NGWASUMA" MAREHEMU MARTIN KASYANJU MSIBANI OYSTERBAY, DAR ES SALAAM LEO
KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA FAMILIA YA MAREHEMU MARTIN KASYANJU YANATARAJIWA KUFANYIKA SIKU YA IJUMAA KATIKA MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM. HII NI KURUHUSU WATOTO NA NDUGU WA MAREHEMU WALIO NJE YA NCHI NA MIKOANI WAWAHI MAZISHI. MAREHEMU KASYANJU, AMBAYE ALIKUWA MMILIKI WA BENDI MAARUFU YA FM ACADEMIA WANA NGWASUMA, ALIFARIKI JANA JIJINI DAR ES SALAAM BAADA YA KUUGUA KWA MUDA MFUPI. MSIBA UKO NYUMBANI KWA MAREHEMU OYSTERBAY JIRANI NA HOTELI YA COLOSSEUM JIJINI DAR ES SALAAM. RATIBA...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SJHyuKr55TOzonwo3L5K*gx61rgjYqbwDmTB1ZuXpQfCfwGMZDEDvOEX0cSmX8syU1XGdRFIq7vXJi2RmQFslKpzi6qBipSu/MARTINFM.jpg)
MMILIKI WA FM ACADEMIA AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi16 Jun
KITOKOLOLO RAPA WA FM ACADEMIA AHAMIA BENDI YA MASHUJAA
![1b](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/qHi0c3s1EF4_7tXRiAx0c37m21x0PvvWKtfO9eKFAnrPRVyv7elaFcE1QDNBxwvscmPG4SqqA9PngHZtXBpaAIM043BGEubf4BTd9ZZ5lqMjz4zTEzU=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/1b.jpg)
![3b](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ZiwSXxbN1tKBOSC8-iJqEZLah24h6ccfgIDlLXJ34eyTaUEeYGN0uLUmpjH3CgB4cWoRng1xJNLxtpgq4vfRyC79KlcQXOpUvo9PQ2RHbj1Fz4HCbNg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/3b.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RC8VwNk9BEM/Vnk4mZcrYwI/AAAAAAAAP20/1tRTUXu0YuY/s72-c/12399982_1123374587695490_811341673_o.jpg)
BENDI YA FM ACADEMIA YAWAPAGAWISHA WAKAZI WA MKOA WA ARUSHA NA VITONGOJI VYAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-RC8VwNk9BEM/Vnk4mZcrYwI/AAAAAAAAP20/1tRTUXu0YuY/s640/12399982_1123374587695490_811341673_o.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SB-c19kMHEc/Vnk4p6iiFuI/AAAAAAAAP28/Ytx2CoekBFA/s640/12414122_1123373784362237_219707691_o.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nzqJgL-s9JY/Vnk4tqUoi7I/AAAAAAAAP3E/PZfRsegIQzQ/s640/12404825_1123371557695793_1320178888_o.jpg)
10 years ago
VijimamboTHE STARS BAND YAZINDULIWA RASMI SIKU YA EID MOSI NDANI YA MZALENDO PUB HUKU IKISINDIKIZWA NA BENDI YA FM ACADEMIA PAMOJA NA BARNABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-DbKSIxEcMBI/VavMZMuhl2I/AAAAAAABSL4/K8gUhWx8El4/s640/DSC_0033.jpg)
Mkurugenzi wa The Stars Band, Aneth Kushaba akijitambulisha kwa mashabiki wakenm pamoja na azungumza na wapenzi wa bendi mpya ya The Stars Band wakati wa...
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
TANZIA:Aliekuwa mneguaji wa muziki wa Bendi Aisha Madinda Afariki Dunia Hii Leo
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar
Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar na alipata umaarufu mkuwa kwa uhodari wake wakucheza muziki alipokuwa kwenye Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’.
Vile vile Aisha aliwahi kuingia kwenye tasinia hii ya filamu na kuweza kuigiza filamu akiwana watu...
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
TANZIA:Aliyekuwa mnenguaji wa muziki wa Bendi, Aisha Madinda Afariki Dunia Hii Leo
Mkurugenzi wa ASET, Asha Baraka amethibitisha kutokea kifo hicho na kuongeza kuwa mwili wa marehemu kwa sasa umehifadhiwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar
Aisha madinda ambae jina lake halisi ni Aisha Mbegu alizaliwa mwaka 1980 katika Hospitali ya Ocean Road jijini Dar na alipata umaarufu mkuwa kwa uhodari wake wakucheza muziki alipokuwa kwenye Bendi ya African Stars ‘Twanga Pepeta’.
Vile vile Aisha aliwahi kuingia kwenye tasinia hii ya filamu na kuweza kuigiza filamu akiwana watu...