FM Academia; Bendi ya muziki wa dansi wa kizazi kipya iliyokaa kileleni miaka 16
>Kwa miaka 16 mfululizo zikitajwa bendi zinazoshika nafasi tatu juu, huwezi kukosa kuitaja bendi ya FM Academia, bendi iliyoitambulisha Tanzania kwa muziki wa dansi wa kizazi kipya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Muziki wa kizazi kipya DRC.
Mwanamuziki wa kizazi kipya mashariki mwa Congo ameanzisha kampeni kuinusuru jamii.
10 years ago
BBCSwahili10 Apr
Muziki wa kizazi kipya Tanzania
Wanamuziki walio wengi wa kizazi kipya wamejikita katika nyimbo za mapenzi.
10 years ago
MichuziJUST IN: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA,MEZ B AFARIKI DUNIA LEO
Taarifa iliyotufikia mapema leo,inaeleza kuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka kundi la ‘Chamber Squad’, Moses Bushagama ‘Mez B’, amefariki dunia leo asubuhi huko Mkoani Dodoma baada ya kusumbuliwa na Homa ya mapafu kwa muda mrefu. Taarifa ya kifo cha Mez B zimethibitishwa na mama yake mzazi, na kwamba alikuwa amelazwa kwenye Hospitali ya Mwananchi.
Mez B amewahi kulazwa na kuruhusiwa mara kadhaa katika hospitali ya Dodoma na hivi karibuni alizidiwa na kulazwa mkoani humo mpaka umauti...
Mez B amewahi kulazwa na kuruhusiwa mara kadhaa katika hospitali ya Dodoma na hivi karibuni alizidiwa na kulazwa mkoani humo mpaka umauti...
5 years ago
MichuziMuziki wa kizazi kipya wa Kiswahil na Kikongo watamba nchini Sweden
Sehemu ya show ya muziki wa Kiswahili na Kikongo huko mjini Linköping Sweden kwenye wiki ya Swedesh Melody festival
10 years ago
Michuzi29 Sep
11 years ago
Michuzi16 Jun
KITOKOLOLO RAPA WA FM ACADEMIA AHAMIA BENDI YA MASHUJAA
Kitkololo akitangaza rasmi kujiunga na bendi ya Mashujaa leo kulia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano Bw. Maximillian Luhanga.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Bendi ya Mashujaa Bw. Maximillian Luhanga akizungumza katika mkutano huo wakati alipomtambulisha rapa Kitokololo kushoto kutoka bendi ya FM Academia kulia ni King Dodoo mshauri wa bendi hiyo na katikati.
…………………………………………………………………….
BENDI ya Mashujaa imemchukua rapa, Kalidjo Kitokololo ‘Kuku’ kutoka bendi ya FM Academia na kusaini naye ...
11 years ago
GPLFM ACADEMIA KUDONDOSHA KITU KIPYA
Na Musa Mateja
BENDI ya FM Academia inatarajia kuachia albamu yao mpya inayokwenda kwa jina la Chuki ya nini? ikiwa ni albamu ya 10 tangu bendi hiyo ilipoanzishwa. Prezidaa wa FM Academia, Nyoshi El-Saadat (kulia) akiimba. Pembeni ni msanii mwenzake. Akipiga stori na Risasi Mchanganyiko, prezidaa wa bendi hiyo, Nyoshi El-Saadat, alisema kimya chao cha miaka minne kina msindo mkuu na kwamba, Jumamosi hii watafunga mwaka kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania